Maulid Kitenge unaboa na vituko vyako

Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
Tena.....sio mke wa kusaga??????
 
Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.

Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi.

Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Ha ha ha eti mpuuzi kama zembwela...
 
Sifa zimemjaa zinampoteza hajitambui, yeye na zimbwela ni pacha kwa sasa wanafanana kwa ujinga mwingi.
 
Utangazaji wa siku hizi una mbwembwe nyiingi mpaka unakosa mood ya kuendelea kuskiza
 
Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
Uwongo.
 
Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.

Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Hujalazimishwa kumsikiliza, channel zipo nyingi
 
Ndio kazi yangu nna uzoefu wa muda tangu RFA. Tusichukuliane poa. Wenda nikisema jina langu halisi naweza kuwa your favourite host in town.
Ndugu mtangazaji hapa sijakuelewa je! Uko nae hpo wasafi (wewe ni Salma Dakota) na umeshindwa kumuambia umeona uje ufoke huku na kama uko Mawinguni (Klachi Habibu) hakutoshi? Na ikawaje mpaka uache kumsikiliza Masudi ukaibukia wasafi! huoni huku ni kuwafokea watu wasiokuhusu
 
Nani kasema niko wasafi? Acha kukurupuka nyie, vijana acheni bangi za mkopo zinawavuruga bongo mnadandia mada bila kupembua kwa uyakinifu.
Mimi nimetoa maoni yangu tu na si vinginevyo.
 
Nani kasema niko wasafi? Acha kukurupuka nyie, vijana acheni bangi za mkopo zinawavuruga bongo mnadandia mada bila kupembua kwa uyakinifu.
Mimi nimetoa maoni yangu tu na si vinginevyo.
Usinifokee
 
Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.

Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Binafsi namuona kama ana stress nshaacha kumsikiliza
 
Siku hizi katika kufanya kazi za media watu wanaendekeza sifa na kuacha ubunifu na kipaji vifanye kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…