Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena.....sio mke wa kusaga??????Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kakutuma?
Hata huyo konda mwenyewe akikuskia atashangaa..kapata umiliki wapi..View attachment 1526931
Nimebak mimi tuSawa, naona karibu kila mtu ni mmiliki wa wasafi
Ha ha ha eti mpuuzi kama zembwela...Ukiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi.
Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Anafoka
Hicho kipindi kimekuwa Cha hovyo huyo kitenge na zembwela wanapenda sifa balaa
Kalagabaho wewe unaona ile kumwita Mlezi wa wasafi kumekuja bure..ushahidi tunaoKakutuma?
Hata huyo konda mwenyewe akikuskia atashangaa..kapata umiliki wapi..View attachment 1526931
AnatufokeaAmekufokea au?
Uwongo.Kitenge na wenzake waliotimkia pale wasafi muda si mrefu wataanza kukimbizana pale , Mishahara yao ikilipwa kwa fedha za dhuluma za Makonda sasa kavuliwa u Rc sijiui atakwenda kumtishia nani..Kwa wasiojua 68% ya umiliki wa WASAFI ni ya Makonda
Hujalazimishwa kumsikiliza, channel zipo nyingiUkiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.
Ndugu mtangazaji hapa sijakuelewa je! Uko nae hpo wasafi (wewe ni Salma Dakota) na umeshindwa kumuambia umeona uje ufoke huku na kama uko Mawinguni (Klachi Habibu) hakutoshi? Na ikawaje mpaka uache kumsikiliza Masudi ukaibukia wasafi! huoni huku ni kuwafokea watu wasiokuhusuNdio kazi yangu nna uzoefu wa muda tangu RFA. Tusichukuliane poa. Wenda nikisema jina langu halisi naweza kuwa your favourite host in town.
Nani kasema niko wasafi? Acha kukurupuka nyie, vijana acheni bangi za mkopo zinawavuruga bongo mnadandia mada bila kupembua kwa uyakinifu.Ndugu mtangazaji hapa sijakuelewa je! Uko nae hpo wasafi (wewe ni Salma Dakota) na umeshindwa kumuambia umeona uje ufoke huku na kama uko Mawinguni (Klachi Habibu) hakutoshi? Na ikawaje mpaka uache kumsikiliza Masudi ukaibukia wasafi! huoni huku ni kuwafokea watu wasiokuhusu
Hapo RFA mlisha lipwa malimbikizo ya mishahara yenu?Ndio kazi yangu nna uzoefu wa muda tangu RFA. Tusichukuliane poa. Wenda nikisema jina langu halisi naweza kuwa your favourite host in town.
UsinifokeeNani kasema niko wasafi? Acha kukurupuka nyie, vijana acheni bangi za mkopo zinawavuruga bongo mnadandia mada bila kupembua kwa uyakinifu.
Mimi nimetoa maoni yangu tu na si vinginevyo.
Binafsi namuona kama ana stress nshaacha kumsikilizaUkiangalia kipindi cha kusoma magazeti Wasafi TV kwakweli ndugu Maulid Kitenge unaboa sana na hivyo vituko vyako.
Yani umekuwa kama MC Pili pili hebu acha huo upuuzi. Ulikuwa mtangazaji mzuri sana wa michezo sasa umekuwa mpuuzi kama Zembwela.