Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM.
Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM
Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.
Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa
Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?
Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM
Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.
Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa
Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?