mbayumbayu
Senior Member
- Jan 25, 2012
- 110
- 83
Huyo mzee naye alikuwa anatafuta nini?; si alijiuzulu u RC Kilimanjaro. Hana maana.Ajikumbushe tu yaliyomkuta mzee Mecky Sadick kule Mwanza, kwa kifupi CCM ina wenyewe na hasa jijini Dsm!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee naye alikuwa anatafuta nini?; si alijiuzulu u RC Kilimanjaro. Hana maana.Ajikumbushe tu yaliyomkuta mzee Mecky Sadick kule Mwanza, kwa kifupi CCM ina wenyewe na hasa jijini Dsm!!
Hivi anamuunga vipi mkono?Msingi wa kurudi kwake CCM ni kumuunga Mkono Rais, kupata au kukosa Ubunge ni Matokeo tu
hapo kwenye kufananishafutuhi na the comedy na ccm kutompitisha sijaelewa mkuuTueleze kwanza chanzo cha tetesi zako.kinyume na hapo hizo ni porojo zako tuu..kwanza CCM hawawezi kumpitisha kabisa.ni sawa na kufananisha FUTUHI na THE COMEDY
Acha tu mkuuHATUONGEI kuhusu kilimo tena. Hatuongei kuhusu upatikanaji wa maji. Hatuongei kuhusu umeme wenye kikohozi. Hatuongei kuhusu walimu waliokata tamaa. Siyo madini, utalii, elimu. Tumechagua kuongea kuhusu NANI amehama kambi moja ya siasa kwenda nyingine. WEZI.