Tetesi: Maulid Mtulia anataka kugombea Jimbo la Kinondoni kupitia CCM baada ya kujitoa CUF

Tetesi: Maulid Mtulia anataka kugombea Jimbo la Kinondoni kupitia CCM baada ya kujitoa CUF

Wewe umesaliti vingapi mbona hujapigwa risasi. Hata wazazi wako umewasaliti wamekupiga risasi, haya ngoja watoto wako watakapokusaliti uwapige risasi.

Sasa umeandika nini hapa?Stupidity is within you.Akili za kiccm ni hatari kwa ustawi wa nchi hii.
 
Sasa umeandika nini hapa?Stupidity is within you.Akili za kiccm ni hatari kwa ustawi wa nchi hii.
Utashi wako wa kufikiria ni mdogo mno, ndio maana unakimbilia kutukana. Hivi mtu akiamua kufanya na wewe unavyotaka ni msaliti? Kwa nini usiheshimu mawazo yake, hivi binadamu tunafanana kwa kila kitu? Kama ingekuwa hivyo basi pasingekuwa na vyama vya upinzani au migawanyiko ya kisiasa, maana wote tunazungumza lugha moja. Hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wenzako kama wazazi wako walivyoheshimu mawazo yako wakati umebarehe!!
 
Sasa kama bado anautaka ubunge,kilichomfanya ajiuzulu ni nini ?stupid kabisa huyu Abdallah.
 
Utashi wako wa kufikiria ni mdogo mno, ndio maana unakimbilia kutukana. Hivi mtu akiamua kufanya na wewe unavyotaka ni msaliti? Kwa nini usiheshimu mawazo yake, hivi binadamu tunafanana kwa kila kitu? Kama ingekuwa hivyo basi pasingekuwa na vyama vya upinzani au migawanyiko ya kisiasa, maana wote tunazungumza lugha moja. Hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wenzako kama wazazi wako walivyoheshimu mawazo yako wakati umebarehe!!

Umebarehe=Umebalehe
 
Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM.

Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM

Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.

Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa

Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?
Ccm watamnyoosha kwenye kura za maoni tu.

Hana ubavu wa kushindana na wana ccm ndani ya ccm, kama ana ndoto hizo asahau kabisa.
 
Kodi zetu zinachezewa sana jamani. Haingii akilini kuwa unamuunga mkono Mh. Rais kwa kuliingiza taifa hasara ya kurudia uchaguzi
 
Hao watu wanajiuzulu ili uchaguzi ufanyike upya kwa gharama za walipa kodi kwa nini wasifungwe kwa kuliingizia hasara Taifa? Hata kama hana anachopinga kama mpinzania si aunge tuu mkono hoja za serikali bungeni badala ya kutupeleka kwenye matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi?

Kama Mh Raisi yuko makini na mtumizi yasiyokuwa na tija hili nalo aliangalie kwa jicho la pili; hizi chaguzi za wabunge wanaohama vyama vyao ikiwezekana chama kilichompokea Mbunge kugharamie huo uchaguzi au Mbunge abaki kuwa Mbunge wa chama chake cha zamani hadi uchaguzi mkuu
Mimi nataka kuacha kazi ya ualimu ili kuunga mkono utendaji kazi wa mkuu wangu wa shule
 
Huyo Mbunge kama ni kweli anataka kugombea tena ,
Anatakiwa achukuliwe hatua kali kwa kuliingizia taifa hasara, kwa kasababu kuandaa uchaguzi ni hela ya mlipa kodi inatumika ,
Utakuwa ni ukichaa kumruhusu agombee pale pale alipoamua kujivua anachotaka kugombea tena.
 
Mimi nataka kuacha kazi ya ualimu ili kuunga mkono utendaji kazi wa mkuu wangu wa shule
Utatupa hasara ya kulipia tangazo la nafasi yako, kufanya usahili na muda wa huyo mpya kujifunza mazingira ya shule (learning curve). Usiache kazi ongeza bidii katika kazi zako utakuwa umemuunga mkono na kuninua shule yako kitaaluma
 
Msingi wa kurudi kwake CCM ni kumuunga Mkono Rais, kupata au kukosa Ubunge ni Matokeo tu

Aache tamaa zake za kifala, yeye ameshalipwa mpaka kiinua mgongo chake amabacho angelipwa 2020 sasa awaachie wafia chama nao waambulie.
 
Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM.

Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM

Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.

Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa

Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?
Yy kwanza amalizane na wananchi wake kwa jinsi alivyowaacha ni dhahiri hawakumuelewa na sidhani kama watamrudisha bungeni huyu kijana.. Pole yake
 
Watanzania tuwapole sana,kuchaguliwa tena ubunge kwa tckt ya ccm hayo ni sawa na matusi kwa wapiga kura wAke
 
Sasa kama mtu anasema kuna mpango wa kumuweka. Unadhani nani atamtoa.
 
Hao watu wanajiuzulu ili uchaguzi ufanyike upya kwa gharama za walipa kodi kwa nini wasifungwe kwa kuliingizia hasara Taifa? Hata kama hana anachopinga kama mpinzania si aunge tuu mkono hoja za serikali bungeni badala ya kutupeleka kwenye matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi?

Kama Mh Raisi yuko makini na mtumizi yasiyokuwa na tija hili nalo aliangalie kwa jicho la pili; hizi chaguzi za wabunge wanaohama vyama vyao ikiwezekana chama kilichompokea Mbunge kugharamie huo uchaguzi au Mbunge abaki kuwa Mbunge wa chama chake cha zamani hadi uchaguzi mkuu

Yaani wewe una amini kabisa katika hili rais wetu "mbana matumizi" hausiki? Tumefika kwenye siasa chafu na za kibinafsi sana ambazo sio tu zina teketeza pesa na rasilimali nyingine za taifa letu (kupandikiza sababu zisizo za msingi za kurudia chaguzi) , bali pia zitakuja kugharimu maisha/ uhai wetu muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom