Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,674
Wewe umesaliti vingapi mbona hujapigwa risasi. Hata wazazi wako umewasaliti wamekupiga risasi, haya ngoja watoto wako watakapokusaliti uwapige risasi.
Dah mnasahau haraka sana hivi mna imani bado kuwa mtashinda ?Ajikumbushe tu yaliyomkuta mzee Mecky Sadick kule Mwanza, kwa kifupi CCM ina wenyewe na hasa jijini Dsm!!
Utashi wako wa kufikiria ni mdogo mno, ndio maana unakimbilia kutukana. Hivi mtu akiamua kufanya na wewe unavyotaka ni msaliti? Kwa nini usiheshimu mawazo yake, hivi binadamu tunafanana kwa kila kitu? Kama ingekuwa hivyo basi pasingekuwa na vyama vya upinzani au migawanyiko ya kisiasa, maana wote tunazungumza lugha moja. Hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wenzako kama wazazi wako walivyoheshimu mawazo yako wakati umebarehe!!Sasa umeandika nini hapa?Stupidity is within you.Akili za kiccm ni hatari kwa ustawi wa nchi hii.
Utashi wako wa kufikiria ni mdogo mno, ndio maana unakimbilia kutukana. Hivi mtu akiamua kufanya na wewe unavyotaka ni msaliti? Kwa nini usiheshimu mawazo yake, hivi binadamu tunafanana kwa kila kitu? Kama ingekuwa hivyo basi pasingekuwa na vyama vya upinzani au migawanyiko ya kisiasa, maana wote tunazungumza lugha moja. Hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wenzako kama wazazi wako walivyoheshimu mawazo yako wakati umebarehe!!
Ccm watamnyoosha kwenye kura za maoni tu.Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM.
Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM
Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.
Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa
Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?
Mecky is more than 70 now huwezi mfafanisha na MtuliaAjikumbushe tu yaliyomkuta mzee Mecky Sadick kule Mwanza, kwa kifupi CCM ina wenyewe na hasa jijini Dsm!!
Mimi nataka kuacha kazi ya ualimu ili kuunga mkono utendaji kazi wa mkuu wangu wa shuleHao watu wanajiuzulu ili uchaguzi ufanyike upya kwa gharama za walipa kodi kwa nini wasifungwe kwa kuliingizia hasara Taifa? Hata kama hana anachopinga kama mpinzania si aunge tuu mkono hoja za serikali bungeni badala ya kutupeleka kwenye matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi?
Kama Mh Raisi yuko makini na mtumizi yasiyokuwa na tija hili nalo aliangalie kwa jicho la pili; hizi chaguzi za wabunge wanaohama vyama vyao ikiwezekana chama kilichompokea Mbunge kugharamie huo uchaguzi au Mbunge abaki kuwa Mbunge wa chama chake cha zamani hadi uchaguzi mkuu
Utatupa hasara ya kulipia tangazo la nafasi yako, kufanya usahili na muda wa huyo mpya kujifunza mazingira ya shule (learning curve). Usiache kazi ongeza bidii katika kazi zako utakuwa umemuunga mkono na kuninua shule yako kitaalumaMimi nataka kuacha kazi ya ualimu ili kuunga mkono utendaji kazi wa mkuu wangu wa shule
Msingi wa kurudi kwake CCM ni kumuunga Mkono Rais, kupata au kukosa Ubunge ni Matokeo tu
Yy kwanza amalizane na wananchi wake kwa jinsi alivyowaacha ni dhahiri hawakumuelewa na sidhani kama watamrudisha bungeni huyu kijana.. Pole yakeKuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM.
Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM
Je ni kweli atafanikiwa kurudi bungeni kupitia CCM.
Je ikitokea nafasi aliyotegemea kugombea ubunge kupitia CCM akaikosa
Je atakuwa yupo tayali kurudi CUF na kuomba msamaha na CUF wakampokea na akagombea kwa mara ya pili?
Hao watu wanajiuzulu ili uchaguzi ufanyike upya kwa gharama za walipa kodi kwa nini wasifungwe kwa kuliingizia hasara Taifa? Hata kama hana anachopinga kama mpinzania si aunge tuu mkono hoja za serikali bungeni badala ya kutupeleka kwenye matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi?
Kama Mh Raisi yuko makini na mtumizi yasiyokuwa na tija hili nalo aliangalie kwa jicho la pili; hizi chaguzi za wabunge wanaohama vyama vyao ikiwezekana chama kilichompokea Mbunge kugharamie huo uchaguzi au Mbunge abaki kuwa Mbunge wa chama chake cha zamani hadi uchaguzi mkuu
Nakuhakikishia CCM haiwezi kumpitisha Mtulia kugombea Kinondoni, hiyo nafasi ni maalumu kwa Waziri mtarajiwa kama ilivyo ile ya Singida kaskazini!Mecky is more than 70 now huwezi mfafanisha na Mtulia