LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
mbona unachelewa sana kupata habari? Media ziko nyingi uwe unaangaza macho na masikio huko.Ni RC wa wap tena?au wanamaanisha Roman Catholic?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona unachelewa sana kupata habari? Media ziko nyingi uwe unaangaza macho na masikio huko.Ni RC wa wap tena?au wanamaanisha Roman Catholic?
Nishaangaza sioni habari inayoeleweka zaid ya RC amlawiti mwanafunzmbona unachelewa sana kupata habari? Media ziko nyingi uwe unaangaza macho na masikio huko.
habari ndio hiyoNishaangaza sioni habari inayoeleweka zaid ya RC amlawiti mwanafunz
Maulid ni sawa na saa mbovu. Tumuache.Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap...
Huyo rc ana umaarufu gani mpaka yamkute ya kumkuta? Ni mwanasiasa machachari? Ana bifu na nani kiasi cha siri zake za faragha ziwekwe wazi?
mkoa wenyewe tu hauna umaarufu miongoni mwa mikoa ya tanzania. Ingekuwa mkuu wa mkoa wa arusha kafanyiwa manuever haya tusingeshangaa, au hata yule wa dar maana wale wana vibe kama lote hawaachwi kuandikwa mara kwa mara kwenye mediaNimejiuliza sana hiki cheo cha RC kina nini hadi wamuwekee zengwe atoke? Na anaetaka atoke ana uhakika gani kuwa ni yeye atateuliwa? Au nini so special mpaka huyu Mh asingiziwe? Kwanza ndio namsikia leo sikuwahi kumsikia kabla.
Ingekuwa wale wanaosemekana wanataka kugombea urais labda tungesema mtego ili wapotee sasa huyu RC whats so special?
Inawezekana ni kweli kuna michezo ya kisiasa. Hata hivyo nionanvyo mimi michezo yenyewe imeanza baada ya tukio. Yaani tukio lilivuja, wapinzani wake wakalipata wakalichukua na kuli push kwa manufaa yakeLakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa ...
Inasemekana atawania ubunge mwakani na huko kwao anakubalika kuliko mbunge aliyepo(mwanamke) ambae mumeww ni Rc mwanza kwahiyo hapo utakuwa umeelewa mchongo unavyoendaNimejiuliza sana hiki cheo cha RC kina nini hadi wamuwekee zengwe atoke? Na anaetaka atoke ana uhakika gani kuwa ni yeye atateuliwa? Au nini so special mpaka huyu Mh asingiziwe? Kwanza ndio namsikia leo sikuwahi kumsikia kabla.
Ingekuwa wale wanaosemekana wanataka kugombea urais labda tungesema mtego ili wapotee sasa huyu RC whats so special?
Wewe ndio wale wale mnatetea ufiraji.Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.
Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
Ninazo hata zile ambazo anavuta bhangi. Nitakutumia pm Ila usije ukaziweka humu.Mwenye picha ya binti tafazali
Hawa mabinti wa siku huzi kuliwa makalio kwani ni breaking newz? Ukiangalia tu mazingira ya bata ya huyo bint utagundua ni mwenyeji wa ndogo.mbona wamesema hadi picha za CCTV camera zilipokelewa huko Polisi-ccm na ushaidi wa daktari pia ulionyesha binti alikulwa makalioni?
Siyo polisi-mamako?mbona wamesema hadi picha za CCTV camera zilipokelewa huko Polisi-ccm na ushaidi wa daktari pia ulionyesha binti alikulwa makalioni?
Ukiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
View attachment 3014619
Mpuuzi kama kakubali kutumikaInawezekana ni kweli kuna michezo ya kisiasa. Hata hivyo nionanvyo mimi michezo yenyewe imeanza baada ya tukio. Yaani tukio lilivuja, wapinzani wake wakalipata wakalichukua na kuli push kwa manufaa yake...
Kapona lakini hana marinda kwasababu ilikuwa multi aggressive and violent relentless encounter.Huyo binti anaendeleaje?.amepona jeraha lake?
DaaahKapona lakini hana marinda kwasababu ilikuwa multi aggressive and violent relentless encounter.