Maulidi Kitenge kesi RC aliyelawiti achana nayo kama umelipwa umeshupalia sana

Maulidi Kitenge kesi RC aliyelawiti achana nayo kama umelipwa umeshupalia sana

Huyo rc ana umaarufu gani mpaka yamkute ya kumkuta? Ni mwanasiasa machachari? Ana bifu na nani kiasi cha siri zake za faragha ziwekwe wazi?
 
Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap...
Maulid ni sawa na saa mbovu. Tumuache.

Mkuu, umenena vyema, bahati mbaya ni kuwa watanzania wachache wanao muda wa kufanya tafakuri tunduizi. Naomba ijulikane mapema kuwa siko upande wowowte katika suala hili.

Umeongea vyema kuhusu nyaraka za siri. Leo kuna story za Julian Assange na Snowden, lakinj sijui kama tumesahau au tumejifanya hivyo kwa maslahi?

Gazeti la mwananchi, bila kupindisha maneno limetumika ndivyo sivyo kuhusu suala hili. Uongo mwingi uliochanganywa na ukweli kidogo, umetumika kuwaaminisha watu kile wanachotaka.

Katika habari yao weledi umewekwa kando. Hatuoni mahali ambapo mtuhumiwa amepewa nafasi ya kujitetea. Habari yote imejaa maelezo yanayolenga kumfanya, mtujumiwa ni mkosaji lakini hakupatikana hata mmoja wa kueleza vinginevyo.

Gazeti hilo linadai, tayari Sampuli za DNA za mwanamke huyo zimechukuliwa zikisubiri za mtuhumiwa. Hawa tayari wana uhakika na madai yanayotolewa.

Kuweka rangj katika mfupa ulioundwa wanapatikana watu walioshuhudia tukio hilo mwanzo mwisho. Lakini mashuhuda hao walishindwa kutoa msaada, wakasubiri uchuguzi wa Mwananchi ndio waelezee tukio.

Mwananchi ninyi, uandishi huu unastahili zawadi. Kwamba chanzo kingine kilichoko ofisi nyeti Dodoma, kimedai baada ya kufika kwenye gari, mtuhumiwa akatimiza haja zake!

Yaani mfanyakazi aliyeko ofisi nyeti tena Dodoma alishuhudia hilo tukio, badala ya kutoa taarifa Mza akaenda Dodoma kumsubiri mwandishi wa mwananchi mwenye uwezo wa kutabiri, mtumishi wa ofisi nyeti aliyekuwa mwanza siku ya tukio na alishuhudia kilichotokea.

Tujiulize, binti alibakwa the cask ghana, akaenda km zaidi ya 25 Malimbe. Vipi maeneo yote hayo alipita hospitali na vituo vingapi vya Polisi.

Kufika Malimbe akavua nguo na kulala kwa siku mbili katika chuo kinachofundisha kozi ya sheria na katika wakati huu ambapo elimu ya nini ufanye au usifanye ukikumbwa na hali hiyo inatolewa kila mahali.

Kwanini, mwananchi wanatoa habari za upande mmoja hivi?
 
Huyo rc ana umaarufu gani mpaka yamkute ya kumkuta? Ni mwanasiasa machachari? Ana bifu na nani kiasi cha siri zake za faragha ziwekwe wazi?

Nimejiuliza sana hiki cheo cha RC kina nini hadi wamuwekee zengwe atoke? Na anaetaka atoke ana uhakika gani kuwa ni yeye atateuliwa? Au nini so special mpaka huyu Mh asingiziwe? Kwanza ndio namsikia leo sikuwahi kumsikia kabla.

Ingekuwa wale wanaosemekana wanataka kugombea urais labda tungesema mtego ili wapotee sasa huyu RC whats so special?
 
Nimejiuliza sana hiki cheo cha RC kina nini hadi wamuwekee zengwe atoke? Na anaetaka atoke ana uhakika gani kuwa ni yeye atateuliwa? Au nini so special mpaka huyu Mh asingiziwe? Kwanza ndio namsikia leo sikuwahi kumsikia kabla.

Ingekuwa wale wanaosemekana wanataka kugombea urais labda tungesema mtego ili wapotee sasa huyu RC whats so special?
mkoa wenyewe tu hauna umaarufu miongoni mwa mikoa ya tanzania. Ingekuwa mkuu wa mkoa wa arusha kafanyiwa manuever haya tusingeshangaa, au hata yule wa dar maana wale wana vibe kama lote hawaachwi kuandikwa mara kwa mara kwenye media
 
Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa ...
Inawezekana ni kweli kuna michezo ya kisiasa. Hata hivyo nionanvyo mimi michezo yenyewe imeanza baada ya tukio. Yaani tukio lilivuja, wapinzani wake wakalipata wakalichukua na kuli push kwa manufaa yake

Kuhusu taarifa kuvujishwa nayo ni sehemu ya michezo. Huenda RC alishaliwekea block juu kwa juu huko liliko enda na walio lipush walipogundua imebidi walilete hadharani kwenye jamii ili hukumu itoke kwa force

Pamoja na yote yanayoendelea, muhanga amekuwa muhanga mara mbili kwasababu sio rahisi hawa washindani wa pande zote wamuache salama maana kila upande utataka awe upande wao

Dalili zimeshaanza kujionyesha kwa kumforce aandike barua ya kuachana na kesi jambalo linaweza kuwa lime activate kuvuja kwa documents husika
 
Nimejiuliza sana hiki cheo cha RC kina nini hadi wamuwekee zengwe atoke? Na anaetaka atoke ana uhakika gani kuwa ni yeye atateuliwa? Au nini so special mpaka huyu Mh asingiziwe? Kwanza ndio namsikia leo sikuwahi kumsikia kabla.

Ingekuwa wale wanaosemekana wanataka kugombea urais labda tungesema mtego ili wapotee sasa huyu RC whats so special?
Inasemekana atawania ubunge mwakani na huko kwao anakubalika kuliko mbunge aliyepo(mwanamke) ambae mumeww ni Rc mwanza kwahiyo hapo utakuwa umeelewa mchongo unavyoenda

Wametumia udhaifu wa tabia zake kumzima kisiasa na kumuharibia wasifu na kumpunguzia nguvu ya ushawishi na fedha kufanya kampeni
 
Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
Wewe ndio wale wale mnatetea ufiraji.
Court Marshall ndio kitu gani?
Huyo ex RC anaishi na mkewe? Kama hawaishi wote Ni kwanini?
Unadhani rais alikurupuka bila kupata habari kamili?
Huyo RC aende tu mahakamani akaumbuke zaidi.
 
Ajalipwaaa kasomaaa barua ya mwanamke akamatwe ahojiwe kama n kweli ajaandika yeyeyeee nilisema hawa wasaniii muda utasema
 
Inawezekana ni kweli kuna michezo ya kisiasa. Hata hivyo nionanvyo mimi michezo yenyewe imeanza baada ya tukio. Yaani tukio lilivuja, wapinzani wake wakalipata wakalichukua na kuli push kwa manufaa yake...
Mpuuzi kama kakubali kutumika
 
Back
Top Bottom