Maulidi Kitenge kesi RC aliyelawiti achana nayo kama umelipwa umeshupalia sana

Maulidi Kitenge kesi RC aliyelawiti achana nayo kama umelipwa umeshupalia sana

Elewa tofauti iliyopo kati ya Nyaraka za Siri kuvuja (divulge) na Nyaraka hizo kuwekwa hadharani makusudi.

Documents za Siri kuhusu sakata hili hazijavuja wala kuvujishwa, bali zimewekwa hadharani makusudi ili Watu wote waweze kuziona kwa Nia ya kudhalilisha utu wa mtu badala ya documents hizo kupelekwa Mahakamani ili zitumike kama ushahidi wa Kesi ya jinai.
Mbona police huwa wanaripoti kwenye vyombo vya habari matukio ya kukamata waaharifu hata kabla ya kuwapeleka mahakamani?
 
Mmejazana humu kumtetea kwanini asisingiziwe RC mwingine ?kubaka kabaka period
Wala hatumtetei, bali tunajaribu kuliweka suala hili katika mizania ya Haki na kulipima.
Kwanza huyo mtu mwenyewe Mimi binafsi Wala simfahamu kabisa, hata jina lake ndio kwanza nimeanza kulisikia kupitia kwenye sakata hili.
 
Mbona police huwa wanaripoti kwenye vyombo vya habari matukio ya kukamata waaharifu hata kabla ya kuwapeleka mahakamani?
Hivi unaelewa maana ya Nyaraka za Siri (Classified Documents) na namna jinsi zinavyotakiwa kuwa handled??? Unataka Nyaraka hizo za Siri ziwe zinawekwa hadharani kwenye mitandao kama hivi walivyofanya hao Polisi kwa huyu RC? Seriously??
Kumbuka kwamba, hata baadhi ya hao Askari Polisi wanafanya Mambo kama haya ya udhalilishaji taarifa zao za Siri pia Watu wanazo, endapo kama taarifa hizo zitawekwa hadharani basi itakuwa ni balaa zito Sana kupita kiasi.

Je, unajua ni kwa nini kwenye mchakato mzima wa uteuzi wa Viongozi mbalimbali wa Serikali 'vetting' yao inafanyika kwa Siri tu na Hakuna vetting ya Wazi kama ilivyo ktk nchi fulani fulani hivi? Unajua ni kwa Nini? Je, unataka ripoti za vetting za Siri za wateule hao ziwe zinawekwa hadharani kama hivi walivyofanya????
 
Haya ni maigizo tu
Binti ambae hajawahi kuliwa Tigo anawezaje kuliwa ndogo kwenye gari tena pasipo hiyari?

Fikirieni ugumu wa kitendo hicho sehemu yenye nafasi kwa binti aliyetayari na fananisheni na binti asiyetayari kwenye sehemu finyu garini
 
Malumbano ya Nini? RC mtenguliwa aende mahakamani akalishtaki gazeti la mwananchi na rais kutengua uteuzi wake bila ridhaa yake.
Kama sio mfiraji aende mahakamani.
 
Haya ni maigizo tu
Binti ambae hajawahi kuliwa Tigo anawezaje kuliwa ndogo kwenye gari tena pasipo hiyari?

Fikirieni ugumu wa kitendo hicho sehemu yenye nafasi kwa binti aliyetayari na fananisheni na binti asiyetayari kwenye sehemu finyu garini
Binti alikeweshwa halafu kumbuka aliyemfanyia hicho kitendo Ni mzoefu.
Kwanza wewe vipi. Kwenye siti ya nyuma ya Toyota crown huwezi kufanya hicho kitendo kwa ufanisi, ukitikia maanani binti alikua tila Lila?
 
Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
Possibly
 
Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
🤔🤔📝
 
Maulid ni sawa na saa mbovu. Tumuache.

Mkuu, umenena vyema, bahati mbaya ni kuwa watanzania wachache wanao muda wa kufanya tafakuri tunduizi. Naomba ijulikane mapema kuwa siko upande wowowte katika suala hili.

Umeongea vyema kuhusu nyaraka za siri. Leo kuna story za Julian Assange na Snowden, lakinj sijui kama tumesahau au tumejifanya hivyo kwa maslahi?

Gazeti la mwananchi, bila kupindisha maneno limetumika ndivyo sivyo kuhusu suala hili. Uongo mwingi uliochanganywa na ukweli kidogo, umetumika kuwaaminisha watu kile wanachotaka.

Katika habari yao weledi umewekwa kando. Hatuoni mahali ambapo mtuhumiwa amepewa nafasi ya kujitetea. Habari yote imejaa maelezo yanayolenga kumfanya, mtujumiwa ni mkosaji lakini hakupatikana hata mmoja wa kueleza vinginevyo.

Gazeti hilo linadai, tayari Sampuli za DNA za mwanamke huyo zimechukuliwa zikisubiri za mtuhumiwa. Hawa tayari wana uhakika na madai yanayotolewa.

Kuweka rangj katika mfupa ulioundwa wanapatikana watu walioshuhudia tukio hilo mwanzo mwisho. Lakini mashuhuda hao walishindwa kutoa msaada, wakasubiri uchuguzi wa Mwananchi ndio waelezee tukio.

Mwananchi ninyi, uandishi huu unastahili zawadi. Kwamba chanzo kingine kilichoko ofisi nyeti Dodoma, kimedai baada ya kufika kwenye gari, mtuhumiwa akatimiza haja zake!

Yaani mfanyakazi aliyeko ofisi nyeti tena Dodoma alishuhudia hilo tukio, badala ya kutoa taarifa Mza akaenda Dodoma kumsubiri mwandishi wa mwananchi mwenye uwezo wa kutabiri, mtumishi wa ofisi nyeti aliyekuwa mwanza siku ya tukio na alishuhudia kilichotokea.

Tujiulize, binti alibakwa the cask ghana, akaenda km zaidi ya 25 Malimbe. Vipi maeneo yote hayo alipita hospitali na vituo vingapi vya Polisi.

Kufika Malimbe akavua nguo na kulala kwa siku mbili katika chuo kinachofundisha kozi ya sheria na katika wakati huu ambapo elimu ya nini ufanye au usifanye ukikumbwa na hali hiyo inatolewa kila mahali.

Kwanini, mwananchi wanatoa habari za upande mmoja hivi?
📝✍️🤝🤔
 
Inasemekana atawania ubunge mwakani na huko kwao anakubalika kuliko mbunge aliyepo(mwanamke) ambae mumeww ni Rc mwanza kwahiyo hapo utakuwa umeelewa mchongo unavyoenda

Wametumia udhaifu wa tabia zake kumzima kisiasa na kumuharibia wasifu na kumpunguzia nguvu ya ushawishi na fedha kufanya kampeni
✍️📝👍👌👏🤝💐🛡️
 
Back
Top Bottom