Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Vijana wa siku hizi hawajui kuwa akimtukana mzazi wa mtu mwingine ni sawa na kumtukana mzazi wake pia sema watoto wengi hawajalelewa na wazazi wawili ndio shida inapoanzia hapo humu utaongea mpaka utachoka .Mkuu mama yake wa nini, malizana naye tu bila kumshirikisha mzazi wake
Malaya toka lini akabakwa mzee sema huyo limemkuta kwa sababu kanunua papuchi huku wahuni wakimsaka na wamempata...ni kweli kacheza na huyo binti ila saa nane binti hapo The Cast alikua anafanya nini kama si kuuza nyama..Vijana wa siku hizi hawajui kuwa akimtukana mzazi wa mtu mwingine ni sawa na kumtukana mzazi wake pia sema watoto wengi hawajalelewa na wazazi wawili ndio shida inapoanzia hapo humu utaongea mpaka utachoka .
tunamshukulu sana uyo polisi kuweka mambo hadharani uma utambueSijakataa kwamba huyo RC hajatenda, hoja yangu ipo kwenye suala la Polisi kuanika hadharani hiyo Classified documents
Kumharibia maisha yake yote ngumu labda awe hana connection. Ona aliyekua karibu mkuu kaulamba uteuzi juzi kati.Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap
Mahakama kazi yake nini?tunamshukulu sana uyo polisi kuweka mambo hadharani uma utambue
kama ana ka- interest fulani hivi, usikute yeye ndo alitaka awe-rwaji!!Ukiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
View attachment 3014619
Inaonekana mambo za ulawiti zinakua kwa kasi sana lo
Demage aliyopata huyo mtu hairekebishiki, atabaki nayo katika wakati wote wa maisha yake yote ya hapa duniani. Maisha siyo pesa tu, hadhi na utu wa mtu (human dignity) ni vitu MUHIMU SANA kuliko hata pesa katika maisha ya binadamu yoyote yule. Pesa zinakuwa siyo kitu chochote Cha maana kwa mtu ambaye hadhi na utu wake umeharibiwa vibaya kabisa kama hivi alivyofanyiwa huyo Mkuu wa Mkoa aliyetenguliwa.Kumharibia maisha yake yote ngumu labda awe hana connection. Ona aliyekua karibu mkuu kaulamba uteuzi juzi kati.
Hoja ni nani anaekujua na sio ulifanya nini
Kweli kabisa,unajuwa ukishakuwa kiongozi na una nyadhifa fulaniInaonekana ilikua ndio mambo zake akatafutiwa kicheche ambacho kinaweza kujilipua si unajua hawa wazee mwanzo wanataka hela ikishindikana wanakulipua ndio kilichotokea hapo maana si watu wa porini hizi mambo tunazijua sana..
Mbona wakina ggy money wanadunda tu 😄Demage aliyopata huyo mtu hairekebishiki, atabaki nayo katika wakati wote wa maisha yake yote ya hapa duniani. Maisha siyo pesa tu, hadhi na utu wa mtu (human dignity) ni vitu MUHIMU SANA kuliko hata pesa katika maisha ya binadamu yoyote yule. Pesa zinakuwa siyo kitu chochote Cha maana kwa mtu ambaye hadhi na utu wake umeharibiwa vibaya kabisa kama hivi alivyofanyiwa huyo Mkuu wa Mkoa aliyetenguliwa.
Shida wao wanajifanya eti wanajichanganya wakati angetaka kufanya chochote angeiita pisi ya maana kwenye hotel nzuri yeye ndio sterling hapo mtu aingie hotel kubwa mwenyewe hawezi kuja kusema kabakwa sijui kafanywa nini kwa sababu hivyo vitu huko kila kukicha ndio mambo zao...kiongozi mkubwa anaenda Lodge za kusaini kama dereva wa bus na jina anadanganya anategemea nini?Kweli kabisa,unajuwa ukishakuwa kiongozi na una nyadhifa fulani
Hizi sehemu za uchochoroni sjui changanyikeni,syo sehemu za kwenda kama unataka kujivinjari
Sasa kiongozi unakwenda sehemu
Ambayo watu ndani wanapigapiga mapicha na kurekodi video
Hapo hata kama kuna jambo utafanya la kuchafua twasira yako lazima litatoka
Ova
Do you know something known as 'Sexpionage Operation for Sexual Entrapment or Honey Trap? Do you know how it works?Shida wao wanajifanya eti wanajichanganya wakati angetaka kufanya chochote angeiita pisi ya maana kwenye hotel nzuri yeye ndio sterling hapo mtu aingie hotel kubwa mwenyewe hawezi kuja kusema kabakwa sijui kafanywa nini kwa sababu hivyo vitu huko kila kukicha ndio mambo zao...kiongozi mkubwa anaenda Lodge za kusaini kama dereva wa bus na jina anadanganya anategemea nini?
Mkuu mtu mwenye akili timamu hauwezi kwenda kufanya mapenzi kwenye vibar vya kishenzi Shenfield hivyo wakati Hotel za maana zipo huko ukiingia mtu mwingine kupata ruhusa sio rahisi na akitaka kukuona utakutana nae chini tena utapigiwa simu pana mgeni wako kama hautaki kuonana nae unawaambia nao wanamwambia jamaa yupo busy aje muda mwingine sio hapo...huyo kajiunguza mwenyewe na mafuta yake..Do you know something known as 'Sexpionage Operation for Sexual Entrapment or Honey Trap? Do you know how it works?
'Mtego wa Asali' ni mbinu maarufu Sana nchini Urusi ambayo huwa inapangwa na kuratibiwa kitaalamu na Mawakala wa Siri wa ujasusi wa KGB/FSB. Walengwa na wahanga wakubwa zaidi wa mbinu hiyo chafu ni Wapinzani/wakosoaji wa Serikali, Mabalozi wa nchi za nje na Wanadiplomasia wa kimataifa, Wanasiasa maarufu, Viongozi wa Serikali ambao hawatakiwi au ambao wameingilia maslahi binafsi ya watu fulani fulani, na watu wengine maarufu kwenye jamii Kama vile Wafanyakazi au Wafanyabiashara maarufu, Viongozi wa dini, n.k. Lengo la kuwafanyia kampeni chafu za namna hiyo ni kuwachafua na kuwapunguzia makali ya umaarufu, kuhataribu kabisa hadhi zao kwa jamii au kuwapunguzia ushawishi katika jamii, kujaribu biashara zao ni mwisho kabisa kuwafanya Watu hao kuwa Watiifu kwa Serikali hata kama kufanya hivyo kunakwenda kinyume na dhamiri zao za moyoni.
Hata huko hotelini nako siyo salama sana kama unayofikiria. Baadhi ya hoteli zimefanyiwa 'bugging' ya kutosha, kila unachofanya unaonekana na unarekodiwa mubashara. Kuna camera za Siri Sana zimefungwa kwenye vyumba vya hoteli katika baadhi ya hoteli.Mkuu mtu mwenye akili timamu hauwezi kwenda kufanya mapenzi kwenye vibar vya kishenzi Shenfield hivyo wakati Hotel za maana zipo huko ukiingia mtu mwingine kupata ruhusa sio rahisi na akitaka kukuona utakutana nae chini tena utapigiwa simu pana mgeni wako kama hautaki kuonana nae unawaambia nao wanamwambia jamaa yupo busy aje muda mwingine sio hapo...huyo kajiunguza mwenyewe na mafuta yake..
Wewe acha zako glan meria wamefanyiwa nini au Mount meru au uende hapo Kibo Babu acha kuongea vitu kwa urahisi huo yaani watu wapoteze wateja wao kisa mambo yako ya kitoto hutokuja kusikia hizi mambo huko mpaka tunazikwa...Hata huko hotelini nako siyo salama sana kama unayofikiria. Baadhi ya hoteli zimefanyiwa 'bugging' ya kutosha, kila unachofanya unaonekana na unarekodiwa mubashara. Kuna camera za Siri Sana zimefungwa kwenye vyumba vya hoteli katika baadhi ya hoteli.
mbona wamesema hadi picha za CCTV camera zilipokelewa huko Polisi-ccm na ushaidi wa daktari pia ulionyesha binti alikulwa makalioni?