[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa hatari sana huyo mkali wa vijambio hakuna cha kusingiziwa wala sijui siasa we umle mtoto wa watu kijambio alafu utake huruma eti ni siasa siasa gani za kuzibuana chemba mshenzi yule mkewe tu alikimbia kuokoa marinda machache aliyombakizia
Sijakataa kwamba huyo RC hajatenda, hoja yangu ipo kwenye suala la Polisi kuanika hadharani hiyo Classified documents
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siyo mtaalamu wa sheria.
Lakini I don't why there should be so much fuss kama msichana wa sekondari akitafunwa( by anybody).
Ni fujo za namna hii ndio zinazochochea watu kudhani ni salama zaidi kumtafuna mwanaume.
Vipi msichana katafunwa,unatishia watu maisha?
Nimesema 'baadhi' ya hoteli, sijasema hoteli zote, rudia tena kusoma vizuri hiyo comment yangu utaelewa. Elewa maana ya neno 'baadhi.'Wewe acha zako glan meria wamefanyiwa nini au Mount meru au uende hapo Kibo Babu acha kuongea vitu kwa urahisi huo yaani watu wapoteze wateja wao kisa mambo yako ya kitoto hutokuja kusikia hizi mambo huko mpaka tunazikwa...
Nasema tena Hotel za level hiyo niliyotaja hakuna kitu kama hicho nipo kwenye utalii naelewa nachozungumza mkuu...Nimesema 'baadhi' ya hoteli, sijasema hoteli zote, rudia tena kusoma vizuri hiyo comment yangu utaelewa. Elewa maana ya neno 'baadhi.'
Jeraha ndio la huko...
Mimi tangu jana ilivyoanza kuvuma ukifuatilia maelezo ya binti utagundua alikuwa demu wake sema maadui wakapanda dau ili demu amuangamize jamaa , haiwezekani uliwe january eti ujifikirie na ukae kimya uitwe tena june uliwe tena ndio ukareport ,hapo maadui wa rc walipanda dau .
Demu kama alipitishwa kiti butu sehemu ya haja kubwa inawezekana ulikuwa mchezo wake kaliwa na watu wengi siyo lazima rc tu
Hapo rc ni muhanga wa siasa chafu pole yake ndio maana kwenye dini tumeambiwa tusiikaribie zinaa
21binti wa umri gani?
Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusika.Lakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.
Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
Hili ndiyo liwe swali la msingi kwa thread hii nzima.Huyu Binti alibakwa au alipenda kuliwa tigo?
Makada achabeni na mambo hayo ya Farao a.k.a firauni ni Machukizo kwa Mungu.Ukiona huyu bwana anaingilia mambo ujue kalipwa
View attachment 3014619
RC ana influence gani hadi atengenezewe skendo? Rais kama hamtaki anamtoa tu na hana haja ya skendo na mapicha pichaLakini suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap.
Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Kwa nini?
'Kumfira' kuitamka hadharani kama ulivyofanya wewe ndiyo matumizi mabaya ya lugha.Sasa hapo nyaraka ya Siri ipo wapi Yana RC kumfira Binti wa miaka 21 ni classified document hebu acha ujinga hayo ni matumizi mabaya ya lugha
Sasa hapo nyaraka ya Siri ipo wapi Yana RC kumfira Binti wa miaka 21 ni classified document hebu acha ujinga hayo ni matumizi mabaya ya lugha
Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusikq.
Kwa hiyo, maneno kama hayo yaweza tengenezwa na mtu yeyote na kutupiwa kwenye mtandao.
Je, hujaiona sahihi na Jina la mwandishi wa barua hiyo?Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusikq.
Kwa hiyo, maneno kama hayo yaweza tengenezwa na mtu yeyote na kutupiwa kwenye mtandao.
Hapana hii nilikuwa sijaiona.Je, hujaiona sahihi na Jina la mwandishi wa barua hiyo?
Afisa wa Polisi anayeitwa Felician Lyope-ASP ndiye anaonekana kuwa aliyesaini barua hiyo.
Basi usiwe unakurupuka na kutoa comments zako humu mtandaoni bila ya kutafiti kwanza.Hapana hii nilikuwa sijaiona.
Niliyoiona ni ile iliyiandikwa kwa mkono ikidaiwa ni ya mkalamikaji kujiondoa kwenye kesi hiyo na kusihi Polisi wasiendelee nayo.
Haya ni maigizo tu
Binti ambae hajawahi kuliwa Tigo anawezaje kuliwa ndogo kwenye gari tena pasipo hiyari?
Fikirieni ugumu wa kitendo hicho sehemu yenye nafasi kwa binti aliyetayari na fananisheni na binti asiyetayari kwenye sehemu finyu garini
Polisi wa Tz Huwa wanawalinda viongozi wakubwa hasa pale wanapofanya jinai inashangaza kwa huyu Rc issue imeenda bila mikwaruzo japo amebaka Kweli