Maulidi Kitenge kesi RC aliyelawiti achana nayo kama umelipwa umeshupalia sana

Jamaa hatari sana huyo mkali wa vijambio hakuna cha kusingiziwa wala sijui siasa we umle mtoto wa watu kijambio alafu utake huruma eti ni siasa siasa gani za kuzibuana chemba mshenzi yule mkewe tu alikimbia kuokoa marinda machache aliyombakizia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe acha zako glan meria wamefanyiwa nini au Mount meru au uende hapo Kibo Babu acha kuongea vitu kwa urahisi huo yaani watu wapoteze wateja wao kisa mambo yako ya kitoto hutokuja kusikia hizi mambo huko mpaka tunazikwa...
Nimesema 'baadhi' ya hoteli, sijasema hoteli zote, rudia tena kusoma vizuri hiyo comment yangu utaelewa. Elewa maana ya neno 'baadhi.'
 

sio swala la kukaribia tu, siasa chafu inaweza muathiri hata asiekaribia. Bongo tunaenda kushabikia mambo ya kipuuzi. tunakoelekea ni kama nchi za magharibi ambazo wanaume wanaishi maisha magumu sana
 
Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusika.
Kwa hiyo, maneno kama hayo yaweza tengenezwa na mtu yeyote na kutupiwa kwenye mtandao.
 
RC ana influence gani hadi atengenezewe skendo? Rais kama hamtaki anamtoa tu na hana haja ya skendo na mapicha picha
 
Sasa hapo nyaraka ya Siri ipo wapi Yana RC kumfira Binti wa miaka 21 ni classified document hebu acha ujinga hayo ni matumizi mabaya ya lugha
'Kumfira' kuitamka hadharani kama ulivyofanya wewe ndiyo matumizi mabaya ya lugha.
 
Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusikq.
Kwa hiyo, maneno kama hayo yaweza tengenezwa na mtu yeyote na kutupiwa kwenye mtandao.

Mkuu kumbuka barua unayoisema haikuwa na sahihi ya mhusikq.
Kwa hiyo, maneno kama hayo yaweza tengenezwa na mtu yeyote na kutupiwa kwenye mtandao.
Je, hujaiona sahihi na Jina la mwandishi wa barua hiyo?
Afisa wa Polisi anayeitwa Felician Lyope-ASP ndiye anaonekana kuwa aliyesaini barua hiyo.
 

Attachments

  • IMG-20240611-WA0000.jpg
    116.6 KB · Views: 2
  • IMG-20240611-WA0001.jpg
    95.4 KB · Views: 2
Je, hujaiona sahihi na Jina la mwandishi wa barua hiyo?
Afisa wa Polisi anayeitwa Felician Lyope-ASP ndiye anaonekana kuwa aliyesaini barua hiyo.
Hapana hii nilikuwa sijaiona.
Niliyoiona ni ile iliyoandikwa kwa mkono ikidaiwa ni ya mlalamikaji kujiondoa kwenye kesi hiyo na kusihi Polisi wasiendelee nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…