Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Assalam aleykum



Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni vingi sana kwanini watumie ugoro??

Dah Kama wanawake wenzangu hadi tumbaku mnaweka kwa bibi basi mna hali mbaya...Si patakuwa panapiga chafya daily wajameni

Hayeni endeleeni tu
 
Mi Niko palee nangojea waweke ugoro kwa mpalange af ndo ntatia neno
 
Kwahiyo hiyo asilimia 80 na bi mkubwa wake na dada zake na shangazi zake na wakwe zake pia wamo? Maana asilimia 80 ni kubwa sana watakuwa waliobaki ni vikongwe tu.
Watu wajifunze kuwa na adabu japo kidogo tu.
 
Kwahiyo hiyo asilimia 80 na bi mkubwa wake na dada zake na shangazi zake na wakwe zake pia wamo? Maana asilimia 80 ni kubwa sana watakuwa waliobaki ni vikongwe tu.
Watu wajifunze kuwa na adabu japo kidogo tu.
Yani wengi hasaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…