Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

Maulidi kitenge: Wanawake wajipaka tumbaku sehemu za siri kupata msisimko wa mapenzi

Assalam aleykum

View attachment 2561389

Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni vingi sana kwanini watumie ugoro??

Dah Kama wanawake wenzangu hadi tumbaku mnaweka kwa bibi basi mna hali mbaya...Si patakuwa panapiga chafya daily wajameni

Hayeni endeleeni tu


Moderator ninaomba unissidie kurekebisha heading iwe tumbaku badala ya ugoro.
Nimesikia baadhi ya wanaume wanalalamika kuwa mtepeto umezidi kumbe ndio ugoro unaivisha?
Nikikuwa mkubwa nitahakikisha
Nakadori
 
Unakutana na Binti kila ukipiga yeye bado tu ndiyo kwanza anakuamsha saa 9 usiku anataka tena kabla ya saa 11 alfajiri kuomba Morning Glory 🤪🙈

Kwa sisi Wazee huchelewi kurudisha namba kwa Sir God.

Bora saivi mambo hayo tumewaachia Vijana wapambane nayo🏃🏃
 
Unakutana na Binti kila ukipiga yeye bado tu ndiyo kwanza anakuamsha saa 9 usiku anataka tena kabla ya saa 11 alfajiri kuomba Morning Glory 🤪🙈

Kwa sisi Wazee huchelewi kurudisha namba kwa Sir God.

Bora saivi mambo hayo tumewaachia Vijana wapambane nayo🏃🏃
Na raha ya mambo hayo upatiwe mda wowote unaotaka. Mbona nyie mkiomba tunawaptia bila kubana...
Yani nimelala na mume au kipozeo usiku mzima halafu nisijipimie khaaa
Yani hapo naisogeza tu upande wa pili igusane na bidada
 
Assalam aleykum

View attachment 2561389

Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni vingi sana kwanini watumie ugoro??

Dah Kama wanawake wenzangu hadi tumbaku mnaweka kwa bibi basi mna hali mbaya...Si patakuwa panapiga chafya daily wajameni

Hayeni endeleeni tu


Moderator ninaomba unissidie kurekebisha heading iwe tumbaku badala ya ugoro.
Hizo takwimu za kupika. Utafiti ulihusisha wanawake wangapi? (N = ?) Sana sana labda wanawake watano walihusika na kati ya hao wanne wanafanya hivyo. Pamoja na kwamba ni kweli wanne kati ya watano ni asilimia 80, huwezi ukabainisha kwamba katika jamii yote asilimia 80 wanafanya hivyo. Kufikia inferential conclusion, ukubwa wa sampuli unahitajika; hiyo sampuli ilichukuliwaje; standard error of estimate ikoje; confidence interval ni ngapi; n.k.
 
Hizo takwimu za kupika. Utafiti ulihusisha wanawake wangapi? (N = ?) Sana sana labda wanawake watano walihusika na kati ya hao wanne wanafanya hivyo. Pamoja na kwamba ni kweli wanne kati ya watano ni asilimia 80, huwezi ukabainisha kwamba katika jamii yote asilimia 80 wanafanya hivyo. Kufikia inferential conclusion, ukubwa wa sampuli unahitajika; hiyo sampuli ilichukuliwaje; standard error of estimate ikoje; confidence interval ni ngapi; n.k.
Don't be that serious mkuu
Kwanza hiyo kauli sio yangu ndo maana nimeweka na mtoa kauli
Pili wanawake wanaweka hadi chumvi za mawe na madawa kibao ya kichina kunako. Me nawaona sana na ndo maana siku hizi madimbwi mengi.
Yani wakisikia tu atakuwa mnato haooo wanaenda kichwa kichwa kuweka. Wasijue kwamba mnato ni asili ya mtu.
 
Na raha ya mambo hayo upatiwe mda wowote unaotaka. Mbona nyie mkiomba tunawaptia bila kubana...
Yani nimelala na mume au kipozeo usiku mzima halafu nisijipimie khaaa
Yani hapo naisogeza tu upande wa pili igusane na bidada
Mmetofautiana, kuna wengine hutoa ushirikiano kila tunapohitaji.

Wengine ukipiga mwisho viwili tu, baada ya hapo utasubiri hadi baada ya siku 3 au wiki ndiyo anakupa tena.

Inasemekana kuna Ke wenye high libido na wengine wenye Libido iko Chini.
 
Mmetofautiana, kuna wengine hutoa ushirikiano kila tunapohitaji.

Wengine ukipiga mwisho viwili tu, baada ya hapo utasubiri hadi baada ya siku 3 au wiki ndiyo anakupa tena.

Inasemekana kuna Ke wenye high libido na wengine wenye Libido iko Chini.
Poleni
Hata wanaume pia wapo wavivu
 
Back
Top Bottom