Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I adore you too mrembo😍😍😂 ( love & respect)Hahaha me sitii neno kwa watu naowaheshimu kama wee
Hata nkijua anaipiga kamba nanyamaza
Sisi wa Enzi ya Mwalimu hatukuwa na haya matatizo sana, as we used to eat Natural food.Poleni
Hata wanaume pia wapo wavivu
🥰🥰🥰🥰🥰🥰I adore you too mrembo😍😍😂 ( love & respect)
Wa enzi za nyerere mko juu sanaSisi wa Enzi ya Mwalimu hatukuwa na haya matatizo sana, as we used to eat Natural food.
Chonde chonde msifanye Ugoro upande bei manake Sisi wazee tumezoea kutumia Ugoro kama Kiburudisho miaka na miaka 🤪
Ndii wanajitangaza. Subiri baada ya two weeksMbona soko la Ugoro bado liko chini?
Inatisha sanaEeeh mungu tuokoe[emoji26]
Labda hivyo, mi nikijipaka hiyo labda ziwepo tano kabisa maana moja haitatosha, ikiwasha natural tu nahisi wehu je niipakae tumbaku,, kuna watu wanajiweza mweee😂😂😂😂👆
Wanaweka washakuwa na tiba pemben