makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
🤣🤣Nishaacha siku hizi.Haha tatizo na ww unapenda deki sana we haya tu utapata cancer ya koo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Nishaacha siku hizi.Haha tatizo na ww unapenda deki sana we haya tu utapata cancer ya koo
😂🤣ila usijali, nimeacha ila sijaacha kabisa.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙆♂️
Wewe, humjui Sun n sand.. naachaje sasa,lazima niipige deki. Siwezi mnyima huyo.Nani akikuomba?
Hakuna kwenda popote naka.. kuja hapa, we ndio mchizi wangu, sikupingi.🙆♂️😂😂😂😂
Byee
Kigoma kabisa mwisho wa reli.Hapa mwisho wa lami eeh
Wapi vile??
Hahahahha welcome [emoji8]That has awakened my curiosity...wat kind of porn are u into i wonder[emoji848][emoji848][emoji848]
Ngoja nije pm u satisfy my curiosity[emoji12]
Hahahahha mwehu kweliNational Anthem changamkia fursa mrembo anataka awekewe ugoro kunako mbususu
Nakuja dear usijali alafu unajua inabidi tuwe makini National Anthem asije kutuuzia mbuzi kwenye gunia...itabidi tutest ugoro hapo hapoNisindikize hata leo.
Stay in style.💃💃💃💃🕺🕺🕺
Hiyo kigomaa kabisa
Gusa unase inaitwa
Sasa nataka twende south beach mshikaji wangu, menu ikija utaagiza nini 🤣Me kizungu cjui
Aache maneno yake ya kidhihaka. Atakuwa anashinda njaa bureAssalam aleykum
View attachment 2561389
Kama mnavyosoma hapo inaaminika wanawake zaidi ya asilimia 80 wanatumia tumbaku ili kujiongezea hamu ya mapenzi. Sasa ninachojiuliza ni kwamba mbona vitu vya kuongeza ashki ni vingi sana kwanini watumie ugoro??
Dah Kama wanawake wenzangu hadi tumbaku mnaweka kwa bibi basi mna hali mbaya...Si patakuwa panapiga chafya daily wajameni
Hayeni endeleeni tu