Maumbile Makubwa au Madogo yanaweza kuvunja Mahusiano?

Maumbile Makubwa au Madogo yanaweza kuvunja Mahusiano?

Kwa ishu ya kuachana hakuna uhusiano kwasasbu
  1. Utofauti wa maumbile ya mwanamke Yana uhitaji wake wakutuliza hisia maumbile Yao haya hapa namaanisha maumbile ya ndani
 
Sheep
Dancing
Buffalo
Deer
Antelope
Wolf
Fox
Bear
20250219_104610.jpg
sasa hapa kila mmoja anauhitaji wa maumbile tofauti Ya mwanaume kumridhishaa upoo
 
Wakuu,
Kuwa na maumbile makubwa hasa mwanaume kunaweza kusababisha kuachana mapema baada ya kumpata umpendae, fikria umemtongoza dada wa watu kwa muda mrefu au unataka ule tunda kimasihara,lakini ulipotoa tu mtarimbo wako binti wa watu akakutupilia mbali,anasema ni kubwa sana si saizi yake

Vile vile kibamia kinaweza kusababisha muachane,wewe ni kuingiza tu hufiki popote na haridhiki

Uke mkubwa ndio hutufanya sisi wanaume tukimbie mapema,let say binti wa watu umempania haswa ukampige miti, unakutana na bwawa la mtera na kihansi,siku hiyo utafanya ila utajiapiza hautarudi tena

Maumbie madogo kwa mwanamke ndio tunapenda sisi wanaume,mwanamke alie,alalamike kwanza ndipo shughuli ianze bila kujua kuwa kumbe wewe ni oversize,anaweza kukukimbia!

Kwenu wakuu. gonamwitu mzabzab holoholo Kalpana SweetyCandy
Mkuu, naona umesahau kama upo kwenye ID nyingine. Umejitag tena.
 
Mkuu, naona umesahau kama upo kwenye ID nyingine. Umejitag tena.
nimeamua tu kufanya hivyo mkuu usijali, vipi wewe mkuu ushawahi kukutana na majanga kama haya ktk mahusiano yako?
 
Kuna watu wana magogo aisee mpaka wanakosa saizi zao. Na kuna watu wana vibamia mpaka vinawaletea aibu wakikutana na mapango. Majimama yenye mabwawa makubwa hudharau vibamia na kuona havijai sawasawa, hutafuta magogo yanyojaa vema humo kunako majamboz
gogo hutumiwa na bwawa full stop
 
Mimi niliacha kuzagamua kutokana na dudhr kuwa ndg mithiri ya mswaki mdomoni
 
Wakuu,
Kuwa na maumbile makubwa hasa mwanaume kunaweza kusababisha kuachana mapema baada ya kumpata umpendae, fikria umemtongoza dada wa watu kwa muda mrefu au unataka ule tunda kimasihara,lakini ulipotoa tu mtarimbo wako binti wa watu akakutupilia mbali,anasema ni kubwa sana si saizi yake

Vile vile kibamia kinaweza kusababisha muachane,wewe ni kuingiza tu hufiki popote na haridhiki

Uke mkubwa ndio hutufanya sisi wanaume tukimbie mapema,let say binti wa watu umempania haswa ukampige miti, unakutana na bwawa la mtera na kihansi,siku hiyo utafanya ila utajiapiza hautarudi tena

Maumbie madogo kwa mwanamke ndio tunapenda sisi wanaume,mwanamke alie,alalamike kwanza ndipo shughuli ianze bila kujua kuwa kumbe wewe ni oversize,anaweza kukukimbia!

Kwenu wakuu. gonamwitu mzabzab holoholo Kalpana SweetyCandy
Wee ungekua mwanamke ungependa mjegeje au soseji
 
Back
Top Bottom