Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
elfu 30 ni pesa ya mafuta ya siku moja. Not a big deal for car owners.
Akili za choo cha mashoga!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elfu 30 ni pesa ya mafuta ya siku moja. Not a big deal for car owners.
hizi kodi nyengine ni wizi kwa wananchi, kodi ambayo msingi wake hauna mantiki wowotw, hivi stika inayotolewa na FIREAcha majibu ya ki-mramba mramba, ni majibu ya kishetani hayafai kuyatoa ikiwa ww ni bin-adam uliyo 'perfect'. Hili suala ni la msingi cz unatoa hiyo 30,000 au 40,000 then haupewi mtungi bali unanunua mwenyewe, so the questions are, What are we paying for? Why is such huge amount like that?
mi nashangaa kilio chote cha nini kwa 'mmiliki wa gari', ingekua mmiliki wa pikipiki nisingeshangaa.. hahaa..
Hii niliiona kwenye matangazo ya TRA wakiwa pamoja na watu wa fire, ili kupunguza usumbufu wa ukusanyaji wa mapato. Watu wa fire watakuwa wanachukua asilimia 70 nyingine zinabaki TRA. Kwa zoezi zima wanategemea kupata kiasi cha milioni kumi.
ukiona tabu uza gari yako upande toyo..
Kaka,t
Tatizo c kulipa hizo 30000,ttz ni je zinatumika kufanyia kazi gani?.usikute zinaishia kwenye posho za safari na vikao visivyo na tija
It is a MIRACLE.!.jamaa leo kwa mara ya kwanza ameona fault ktk utawala wa Kikwete!hizi kodi nyengine ni wizi kwa wananchi, kodi ambayo msingi wake hauna mantiki wowotw, hivi stika inayotolewa na FIRE
- INA UHUSIANO GANI NA KUZUIA JANGA LA MOTO?
- JE SHERIA SI KUWEKA FIRE EXTINGUISHERS KWENYE GARI ? HII HAITOSHI ? MPAKA UKANUNUE NA STIKA?
- KODI NYENGINE NI MIRADI YA WAKUBWA
- UKIANGALIA WINGI WA MAGARI YALIOPO TANZANIA NI MANGAPI SIJUI LABDA ZAIDI YA 1,000,000 HIVI SASA NAGLIA HELA NGAPI WATAKUSANYA
- NA ANGALIA UBOVU WA FIRE DEPARTMENT KWENYE HUDUMA
- HATA GARI ZA KUTOSHA HAWANA ? SASA HIZI PESA ZA NINI KAMA SI ULAJI TU?
- JEE MAGARI MANGAPI YANA UNGUA KWA MWAKA ? MPAKA ILAZIMISHWE SHERIA HII YA UONEVU?
- SI SAWA KWA WENYE MAGARI KULIPA GHARAMA ZA KUENDESHA SHUGHULI ZA FIRE
- HUU NIMRADI MWENGINE WA WAKUBWA
- WAMELETA MAKONTENA YA FIRE EQUIPMENTS ILI IWE NI DEAL..HILI NI SAWA NA WAKATI WA SPEED GOVERNOR ...
- KUENDESHA GARI TANZANIA IMEKUA NONGWA, MFANO SASA KUWA NA LAND CRUISER MFANO GHARAMA ZAKE NI KAMA HIVI
[*=2]BIMA KUBWA WASTANI 3,000,0000
[*=2]ROAD LICENNCE 300,OOO
[*=2]FIRE EXTINGUISHER 50,000
[*=2]FIRE STICKER 30,000
[*=2]USALAMA BARABARANI 10,000
[*=2]UBANI WA TRAFICK KWA MWAKA 100,000
hama utuachie nchi yetu! btw, mpuzi ni wewe.. shenztypupuuzi, nchi kuwa na raia wenye mawazo kama haya ni sawa na kujitwisha gunia la misumari
Taratibu mkuu!uclalamike sana mkuu huo ni utaratibu ambao upo yawezekana wewe ni m1 wawale wanaoogopa trafic iyo30 ulotozwa ni faini ila kawaida stika ya fireni5000
hama utuachie nchi yetu! btw, mpuzi ni wewe.. shenztyp
elfu 30 ni pesa ya mafuta ya siku moja. Not a big deal for car owners.
hama utuachie nchi yetu! btw, mpuzi ni wewe.. shenztyp
Tatizo lako ni umaskini hadi akilini. Mbaya zaidi ni kuridhika kuwa utakuwa maskini daima dumu. linalojadiliwa ni jambo la msingi kwa watz wote, maana hata wewe unayebeza litakuongezea nauli...wenye daladala wakilipishwa zaidi impact itakuja kwako.ujumbe ni kwamba kama
hela yako haijatimia usinunue gari, otherwise unatoa wrong impression
kuwa unazo kumbe kabwela tu. duniani kote wene kipato kikubwa ndio
wanaolipa kodi kubwa..siitetei serikali lakini ukweli wa mambo ndio
huo.