Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujumbe ni kwamba kama hela yako haijatimia usinunue gari, otherwise unatoa wrong impression kuwa unazo kumbe kabwela tu. duniani kote wene kipato kikubwa ndio wanaolipa kodi kubwa..siitetei serikali lakini ukweli wa mambo ndio huo.
ukiona tabu uza gari yako upande toyo..
hii ni tofauti hapa kwetu mbna wengi wanacho lakini hawakilipii kodi mwenye kidogo ndo anaekilipia hyo kodi au ndo udhaifu wenyewe unaosemwa
shule za kata ipi? ivi unadhani kila mtu amesomea tz?Haya ni matunda ya shule za KATA, Poor Tanzania!
sababu ya kua shocked ni ipi?I am shocked by this comment!
I can not believe it!
unakurupukia kujibu post usiyoielewa..poor thinking,ukiwa na gari ndiyo kuwa na kipato kikubwa,yale yale ya ukiona foleni kubwa ya magari ndiyo kukua kwa kiwango cha maisha bora kwa watz. sio kodi ni ADHABU YA KUMILKI GARI TZ.
jibu la kijinga au wewe ndio mpumbavu? chunguza tatizo vizuri.Jibu la kijinga au la wivu. HII KUMBUKA ITAKWENDA HADI KWENYE PUBLIC TRANSPORT NA ITAPELEKEA KUPANDA KWA GHARAMA YA UENDESHAJI NA MATOKEO YAKE NI NAULI KUPANDA PIA ITAONGEZ GHARAMA YA USAFIRISHAJI INGENERAL. NANI ANAUMIA HAPA KAMA SI WATANZANIA WOTE REGADLESS UNAGARI AU HUNA?
TRY TO BE SMART
aah..ningekua mla kodi usingenikuta jf this sunday afternoon bhana..hebu tumia akili kidogo..Naona kama hapa ni malumbano kati ya wala kodi na walipa kodi Hebu tuone.
poor thinking,ukiwa na gari ndiyo kuwa na kipato kikubwa,yale yale ya ukiona foleni kubwa ya magari ndiyo kukua kwa kiwango cha maisha bora kwa watz. sio kodi ni ADHABU YA KUMILKI GARI TZ.[/QUOTE=BOra wewe umesema busara ya mtu huonekana maneno yamtokayo moyoni mwake huyu jamaa kaamua kuwa kituko kwa majibu yake,hasira za nyumbani anazileta jf.
mi nashangaa kilio chote cha nini kwa 'mmiliki wa gari', ingekua mmiliki wa pikipiki nisingeshangaa.. hahaa..
nice try..huwezi kuelewa kama huna gari....
wewe ulitegemea izime?sticker haizimi moto...
tra waione yanini,ili iweje? wao sio kazi yao. kazi yao ni kukusanya mapato!unaenda pale samora unalipa hiyo sticker nao hawauzi hiyo fire extinguisher wana kupa kikaratasi cha kubandika gari hawataki kuiona
ukisafiri mikoani wapo trafic wanakusimamisha na na pembeni kuna jamaa wana mitungi ya fire wanauza
hata ukiwa nao wana kulaimisha unune yao kisa ati ule haufai !
uonevu? kulipa kodi ni uonevu?usitetee jambo la uonevu
umejijibu mwenyewe!kodi hutozwa kwenye income
sio kila mahala inatozwa kodi
serikali yako tukufu inaanza kwanza kwene magari..na sio sahihi wenye magari kulipa gharama za mamlaka ya fire
moto unatokea zaidi kwenye majumba, viwanda kuliko kwenye magari
inachotakiwa ni wenye magari waweke vizimio sio kuwakamua
kodi pia sio anasa, is very essential..gari sio anasa ndugu yangu
all well, pengine ungeona haya mapema na kuishauri serikali yako sikivu ya Kikwete, labda wasingekaba huku kwene stika za fire..ulipokua ukimtetea (i bet hata sasa is still a saint kwako) hukujua haya? usiseme ni mfumo, maana yeye ndio bosi wa kusimamia huo mfumo!nikuulize kitu kimoja tu...kama kweli hawa watu makini katika kukusanya kodi kwa nini kwenye madini wanakua kama matahira vile(ashakum sio matusi)
- nchi ina madini kibao anakuja mtu anapewa achimbe achukue yote
- fedha zote zitokanazo na hayo madini zinakaa njee ya nchi
- fedha zinaletwa hapa ni kwa ajili ya mishahara na uendeshaji
- gold yote inawekwa kwenye hazina yao hayo makampuni yanayopewa ardhi kuchimba
- akiba ya gold ya tanzania hai ongezeki kutokana uchimbaji huu
- na juu ya hayo equipments zote za miradi hii hailipiwi kodi
- na kubwa zaidi MAFUTA yanayotumika katika mitambo yao na kuzalisha umeme nao hawalipi kodi
hawa hawalipi kodi....hawa wapo sawa..ila watanzania wanyonge tunayalipia ushuru magari yetu yanapoingia , tunalipa road licence kila mwaka , vijibiashara vyetu tunavilipa kodi lakini kama haitoshi tunalipishwa kodi ya karatasi ya fire kuzidi kukamuliwa
serikali inayojali inaweka wananchi kwanza sio wageni kwa jina la investors
waambie wakajifunze kwa Chavez wa Venezuela, wajifunze Brazil, Peru , India na hata Afrika Kusini...uwaulize kama wanatoa rasilimali zao kwa bure kama hivi
hili si la Kikwete..ni la mfumo mzima mfumo wa ubinafsi...unaojali masklahi binafsi
/
kwa mtu mwene gari tz, 30--50K per year is nothing. mafuta yenyewe ni 2+K kwa lita..tusikuze mambo.Haya ni mawazo ya miaka ya 70. Mtu akiwa na gari anaonekana ni tajiri. Gari siku hizi si Luxury ni necessity. Tungekuwa na reliable public transport ningekubalina nawe kuwa hakuna haja ya kumiliki gari.
Unajua serikali ya Tanzania ya ajabu sana, badala ya kuweka misingi ya kukuza uchumi na uzalishaji ambao untaongeza tax base wao wanang'ang'ani kukamua walala hoi. Kuna makampuni na wafanyabiashara wakubwa sana wanakwepa kodi kwa kushirikiana na viongozi waliopo serikalini. Hali hii inanikumbusha siku za mwisho za uongozi wa Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Afisi kuu ya nchi ikiwa inaendeshwa na mtu asiyetaka lawama wala kuonekana mbaya kwa maswahiba wake matokeo yake ndiyo haya.
Bado kurudisha kodi ya kichwa au kutoza kodi ya Oxygen kwa wanaoishi, ukifa unapata bahati ya kuwa exempted, ambayo nayo utahitaji kupeleka cheti daktari kuwa wewe ni marhum.
kwa mtu mwene gari tz, 30--50K per year is nothing. mafuta yenyewe ni 2+K kwa lita..tusikuze mambo.