Maumivu makali ya mgongo mara baada ya tendo la ndoa

Maumivu makali ya mgongo mara baada ya tendo la ndoa

TIASSA

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
2,926
Reaction score
3,530
Kwema Jf Doctors?
Mpenzi wangu analalamika kuwa Kila akikutana na Mimi , baadaye hupata maumivu makali ya mgongo. Na anasema huwa inatokea kwangu Tu kabla ya hapo hakuwahi kupata shida hiyo husababishwa na nini?
 
Je, anapata maumivu ya mgongo eneogani zaidi chini karibu na kiumo au kati n.k?
Angalizo, eneo mnalo perform linamsaidia ku-relax, pia style of play haimpi mgandamizo mkubwa.
 
Kwema Jf Doctors?
Mpenzi wangu analalamika kuwa Kila akikutana na Mimi , baadaye hupata maumivu makali ya mgongo. Na anasema huwa inatokea kwangu Tu kabla ya hapo hakuwahi kupata shida hiyo husababishwa na nini?
Utakuwa unamkunja sana jaman, km mm nilikuwa na mtu mmoja akitaka kumwaga anakung'ata yaan maumivu huku utamu.

Mpenzi wako mfanyie massage mara kwa mara itaacha hiyo kitu
 
Back
Top Bottom