Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Niongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.