Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Ila we boya kweli..

Kubali aje kuvifuata getto akija mchenjie mpige mechi ya nguvu yan ile ya fujo ataondoka bila kuchukua vitu vyake na atataka aje tena siku nyingne kuvichukua ufanye hivyohvyo at the end mtajikuta mmerudiana..

Kama gharama za kuachana nae huwezi kuzimudu ni bora uingie gharama ya kurudiana nae kwa namna yeyote ile...

i.e.. Hapo kwenye kupiga MECHI ya nguvu sismdhani kama utaweza kama wewe ni Mwanaume wa Dar..
 
Usimuache huyo mgande tu kama unampenda bado ila kama umechoka manzii piga Chini tu hamna namna, kumbuka mwanaume haachwi
 
Mkuu kamkodishe wema sepetu aje getto,halafu umpigie simu huyo gal aje kuchukua vitu vyake.
 
921730b18675653ec204a7e2e00cf7dc.jpg
ushauri wangu ni huu
 
Kumbe tupo wengi tuliowah kuachwa,dawa yake Fanya maamuzi magumu, kama vile kununua kiwanja na kujenga, au biashara zitakuwa zinakuweka busy yaan hutakuwa na muda wa kumfikiria maan utakuwa unawaza hela ya ujenzi Mara bidhaa dukan zimepungua ,yaaan mawazo yako yatakuwa kipesapesa ,baada ya kussetle mwombe Mungu akupe wa ubavu wako, nilifanya hivyo baada ya kuachwa, nimefanikiwa haya maamuz kwa asilimia 60%
 
Mimi in Me ila sio wa dar . sikuona aja kumblock sababu nilichukulia sio ugomvi
Dah mkuu kaa we ni Me basi huo ni udhaifu mkuBWA sana...kulia lia achia Ke arifu...ME atuliagi arifu...Tafuta kitu kingine fastaa umove on! Mimi ni mwiko Demu kunikaa kichwaniii...kwanza siwezi kuwa na demu mmoja hiyo ni hatari kwa faya yangu ya akili.Over1
 
We uliwekeza moyo wako wote kwa mpenzi wako madhara yake ndiyo hayo......
 
Kama kweli ww ni mwanaume nina imani kwamba hilo ni jambo ambalo hutakipa uzito kiasi cha kufikia hatua ya kuhisi kama hujiwezi, ila kama ni mvulana basi una safari ndefu ya kufika uendako. Unawezaje kuumia kiasi hicho kisa mwanamke!? hata sio mkeo ! Si ajabu anakuingiza gharama za kijinga zisizo na mbele wala nyuma. Si unampotezea tu, tena unapata muda mzuri zaidi wa kufanya mambo yako ya maendeleo badala ya kukaa unalialia kisa mwanamke. Tafuta hela jombaa ,unajichelewesha ktk maendeleo yako mwenyewe weee vp!
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?

Kaka achana nae mwombe Mungu akusaidie uweze ku move on
 
Mwanamke ni kiumbe kingine mkuu, huwa akisema hichi chakula ni uchafu hali tena ujue, so waelewe hivyo na siku zote jitahidi kumpenda mwanamke wako kadri uwezavyo, asiwe na njaa ya upendo kamwe, kwani anaposhibishwa ndiko atakakokwenda hata ufanyaje, ndivyo walivyoumbwa!
La vinginevyo si kosa lako huenda ametekwa na nguvu za ziada za ibilisi, basi pia kubali kuwa kisicho riziki hakiliki, kwani maneno ni kama embe likidondoka mtini harirudi kamwe, iwapo kashaongea maneno mazito juu yako moyo wako utaweza kusawajika ili uweze kummiminia upendo wako kama awali, amini nakuambia kila utakapotaka kupandisha upendo juu yake moyoni mwako yatakuwa yanajirudia yale aliyotamka na psychologically hutakuwa na upendo mkuu tena kwake, so ni vema wapenzi tukigombana kama tunampango wa kuendelea kupatana tena basi tuweke akiba ya maneno, usigombane na mtu atakaehitajika na nafsi yako kama vile unagombana na mtu baki tu,
Namaanisha kuwa kwa kuongea hovyo she has crossed the redline for love,
Kubali maumivu maana yatapoa ila ukimrudia ndio hutapenda kwa uhuru tena!
 
Back
Top Bottom