Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Nigga, don't give a fxck
Still hustling getting money, be a self - made. Stop think that bitch see her like stripper.
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Muue halafu nawewe ujiue utakua umemaliza mawazo
 
When a good thing goes bad it's not the end of the world
It's just the end of a world, that you had with one girl
And she's the reason it happened, but she's overreacting
And it's all because she don't want things to change

Dont be like her niggar
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Mchapeeee havi vijidem vya mchangani vinazingua kichiz we mfanye aone life is more painful than death!!!!
Lazima atamani kufa kuliko kuish
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
[emoji19] [emoji19] [emoji19] daahh pole sana always love come when u don't need it and gone when u need
Itakuwa maybe ulikuwa humridhishi au unatabia ambazo zilikuwa zinamkera
Au unagubu
Chamsingi don't look back Na kumsahau haraka nikitu ambacho hakiwezekan cause umefanya mambo mengi pamoja ila utamsahau taratib hatimae yatabak mazoea cause kumsahau kabisa haiwezekan cause ulimpenda sana
 
Kumbe tupo wengi tuliowah kuachwa,dawa yake Fanya maamuzi magumu, kama vile kununua kiwanja na kujenga, au biashara zitakuwa zinakuweka busy yaan hutakuwa na muda wa kumfikiria maan utakuwa unawaza hela ya ujenzi Mara bidhaa dukan zimepungua ,yaaan mawazo yako yatakuwa kipesapesa ,baada ya kussetle mwombe Mungu akupe wa ubavu wako, nilifanya hivyo baada ya kuachwa, nimefanikiwa haya maamuz kwa asilimia 60%
Strong women
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Piga chini na mfute kwenye raman. Huwa hawathaminiki.
 
Pole sana! Jikaze ndugu yangu....usimlipize wala usimjibu kitu chochote! Kweli nakwambia atakuja kwako kwa kilio na magoti..,,,dadeki hapo ndipo utamcheki na kuswepa! Mwache Mwenye Enzi Mungu afanye kazi yake!
Barabara hii kanuni inalipa sana sema mwanzo inakuwa ngumu kuitekeleza, Ila iko vizuri sana.
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Pole sana
 
Daaah!. Hivi wewe ni Ke au Me?

Kama ni 'Me' bila shaka utakuwa mwanaume wa Dar.

Unaogopa vijembe vya Whatsapp? Kwani inakushinda nini kumblock na mwisho wa siku hutaviona tena hivyo vijembe?

Anyway, Pole sana.
Hahaha
 
Back
Top Bottom