Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Asante sana ndugu kwa kunielewa.
 
Yaani watu wanaopitia haya mambo sijui nawaonaje wananiboa kinyama
 
Ndo shida ya kuanza mahusian na utuuzima kwa bint aliye kubuh halaf unatak kuishinae
 
eti naumia kwani kuna mtu amekupiga!mi jitu likisema linaumia sbb y mapenz nashangaa sn.
 
una muandiko wa kike halafu we ni dume..... utakua mashallah
 
Shukran kwa ushauri
Tayari umepatiwa ushauri mzuri sana hapa. Lakini naongezea ushauri mdogo kuwa tafuta mpenzi mwingine utamsahau huyo wa mwanzo kabisa. Na akisikia una mpenzi mwingine mnapendana sana ataanza kukutafuta kuomba mrudiane na wewe usikubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…