goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Muue halafu nawewe ujiue utakua umemaliza mawazoNdugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Mchapeeee havi vijidem vya mchangani vinazingua kichiz we mfanye aone life is more painful than death!!!!Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Kumuuzia nnYapi hayo
Na wewe ushawahi kumuuzia mtu ?
[emoji19] [emoji19] [emoji19] daahh pole sana always love come when u don't need it and gone when u needNdugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Umekosea lazm mwanaume alie kwa mwanamke[emoji3]Mkuu simama kama mwanaume, mwanaume halii lii kisa mwanamke futa namba ake, songa mbele.
Strong womenKumbe tupo wengi tuliowah kuachwa,dawa yake Fanya maamuzi magumu, kama vile kununua kiwanja na kujenga, au biashara zitakuwa zinakuweka busy yaan hutakuwa na muda wa kumfikiria maan utakuwa unawaza hela ya ujenzi Mara bidhaa dukan zimepungua ,yaaan mawazo yako yatakuwa kipesapesa ,baada ya kussetle mwombe Mungu akupe wa ubavu wako, nilifanya hivyo baada ya kuachwa, nimefanikiwa haya maamuz kwa asilimia 60%
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha.
Relax,Reflect,React but never Revenge
Piga chini na mfute kwenye raman. Huwa hawathaminiki.Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Barabara hii kanuni inalipa sana sema mwanzo inakuwa ngumu kuitekeleza, Ila iko vizuri sana.Pole sana! Jikaze ndugu yangu....usimlipize wala usimjibu kitu chochote! Kweli nakwambia atakuja kwako kwa kilio na magoti..,,,dadeki hapo ndipo utamcheki na kuswepa! Mwache Mwenye Enzi Mungu afanye kazi yake!
Aaah sana tena mnooo mpk huwa nahisi mungu atanichapa vibokoNilikosea
Kumuumiza mtu ?
Pole sanaNdugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
HahahaDaaah!. Hivi wewe ni Ke au Me?
Kama ni 'Me' bila shaka utakuwa mwanaume wa Dar.
Unaogopa vijembe vya Whatsapp? Kwani inakushinda nini kumblock na mwisho wa siku hutaviona tena hivyo vijembe?
Anyway, Pole sana.