malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Mkuu mbona unaguna mpe jibu mwenzetu kaulizaivunya,
Wap sasa mkuu ulipofanikiwa tatizo likaisha nihospitali gani hiyo mkuu na daktar gani nielekeze
Sent using Jamii Forums mobile app
Uende upige ultrasound tsh 20,000 tu.Na maumivu ndan kwe kinena sio korodan,, korodan haziumi ziko poa ila kinena ndan sijui ndio ngiri yenyew na napata maumivu sana haswa nkifany Mazoez kama kukimbia nakua kama nimeamsha maumivu vile kunakua kama kunawak moto ndan kwa ndan hili ni tatizo gan ngiri nisaidie ushaur wa matibabu nshakunywa shubiri sana haisadii inapunguza tu then inarud nkianza tu Mazoez
AhsanteUende upige ultrasound tsh 20,000 tu.
Hospital gani kwa dar inaweza kwa nzuri kwa vipimo hvyo?Nimewaza pia kuhusu testicular torsion but maumivu ya hiyo kitu ni severe sana na ngumu kuvumilika, hata muda wa kuandika hapa sidhan kama angepata.. pdx yang ni epididymo orchitis, ddx inguinal hernia, na pia muhimu kufanya scrotal Uss, Fbp for neutrophill level, then physical examination ifanywe kwa Uzuri, nadhan dx itapatikana.. kwa maana hiyo muhimu aende hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ndugu yako ameshapona hilo tatizo?Jamani mficha maradhi kifo humuumbuaa.. kama kuna mtu anaweza nisaidia kufahamu nini cha kufanya kupata tiba.. maana babbu yangu anamiaka 73 anasumbuliwa na hilo taizo sasa nkampeleka hosptal wakasema ni bacterial infection wakampa dawa zikaisha ila kama bado tatizo analihisi.nani anamfahamu urologist mzuri nipate huduma.?Msaada tafadhali
Mkuu hii shida ulipata suluhisho. Tafadhali naomba msaada wako na mimiWadau, nnaomba kwa walioeleza matatizo haya wanipe ushuhuda ili nipitie njia hizo,
1. Korodan moja ya kulia imeanza kujaa naona imeizidi ile ya kushoto,
2. Kuna kamshipa nakasikia kwa mbali asubuh nikiamka kanavuta upande huohuo wenye ongezeko, kanauma kwa mbaaali
3. Mashine imefeli kusimama na sasa wife namuangalia tu kama picha,
Naomba kufahamu ni nini hiki na wenzangu walioeleza tatzo kama hili je? Walipata matibabu? Na je? Ntaweza kurud katika hali yangu? Maana ndo kwanza nataka nitengeneze familia. Naomba ushauri wenu,
Mungu awabariki sana ndugu zangu....