Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa

Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa

😂😂😂 Ila 👏🏾
Now days siumii kabisa,lakini niliachwa hata sababu haieleweki,kilikuwa kipindi kigumu,isingekuwa uwezo wa kustahimilia mapito haki sijui ingekuwa vipi,lakini niliamua kuwa mjinga,wakanifanya ushenzi kila waliouona unafaa tena mpaka wazazi wake na sikuweza kuwashushia heshima,mpaka leo nipo fiti na nilikubali ,licha cha kwamba hawajamaliza chuki dhidi yangu na chanzo hakieleweki ila mimi kidume natusua ,napita katikati yao nasepa
 
Now days siumii kabisa,lakini niliachwa hata sababu haieleweki,kilikuwa kipindi kigumu,isingekuwa uwezo wa kustahimilia mapito haki sijui ingekuwa vipi,lakini niliamua kuwa mjinga,wakanifanya ushenzi kila waliouona unafaa tena mpaka wazazi wake na sikuweza kuwashushia heshima,mpaka leo nipo fiti na nilikubali ,licha cha kwamba hawajamaliza chuki dhidi yangu na chanzo hakieleweki ila mimi kidume natusua ,napita katikati yao nasepa
Barikiwa sana 🙏🏽
 
Naona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote
Ndio wakua, wote tulipitia hayo lakini sasa hivi madem nawaonaga kama takataka.

Nawala siwezi kuja sumbuliwa na dem tena. Ukifikaa mahala ambapo kyuuuma sio kipaumbele chako na ukiitaka waipata muda wowote utakao basi hawa wavuja damu utawaona kama takataka tu.
 
Ndio wakua, wote tulipitia hayo lakini sasa hivi madem nawaonaga kama takataka.

Nawala siwezi kuja sumbuliwa na dem tena. Ukifikaa mahala ambapo kyuuuma sio kipaumbele chako na ukiitaka waipata muda wowote utakao basi hawa wavuja damu utawaona kama takataka tu.
We jamaa una kifua kipana unawezaje.!?
Inawezekana ukiwa na EI toshelezi,
 
Naona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote
Weeee kama ukishuhudi shuruba anayopata kwa mchepuko mikunjo anayokunjwa huko uwezi vumilia Kaka vijana wanafanya kweli
 
Back
Top Bottom