TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Mapenzi ni kulanina sana,ila ipo hivi “Tunaishi na wapenzi wa watu,ukipendwa pendeka ,ukiachwa achika” -Linex
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa una kifua kipana unawezaje.!?Naona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote
😂😂😂 Ila 👏🏾Mapenzi ni kulanina sana,ila ipo hivi “Tunaishi na wapenzi wa watu,ukipendwa pendeka ,ukiachwa achika” -Linex
Now days siumii kabisa,lakini niliachwa hata sababu haieleweki,kilikuwa kipindi kigumu,isingekuwa uwezo wa kustahimilia mapito haki sijui ingekuwa vipi,lakini niliamua kuwa mjinga,wakanifanya ushenzi kila waliouona unafaa tena mpaka wazazi wake na sikuweza kuwashushia heshima,mpaka leo nipo fiti na nilikubali ,licha cha kwamba hawajamaliza chuki dhidi yangu na chanzo hakieleweki ila mimi kidume natusua ,napita katikati yao nasepa😂😂😂 Ila 👏🏾
Barikiwa sana 🙏🏽Now days siumii kabisa,lakini niliachwa hata sababu haieleweki,kilikuwa kipindi kigumu,isingekuwa uwezo wa kustahimilia mapito haki sijui ingekuwa vipi,lakini niliamua kuwa mjinga,wakanifanya ushenzi kila waliouona unafaa tena mpaka wazazi wake na sikuweza kuwashushia heshima,mpaka leo nipo fiti na nilikubali ,licha cha kwamba hawajamaliza chuki dhidi yangu na chanzo hakieleweki ila mimi kidume natusua ,napita katikati yao nasepa
Ndio wakua, wote tulipitia hayo lakini sasa hivi madem nawaonaga kama takataka.Naona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote
Kanuni ni hii “Yeyote anayekuja anaweza kuondoka pia,hivyo ukimfungulia mlango aingie usiufunge ili muda ukifika acataia kutoka atoke pasipo purukushani Za kufungua mlango”..Nimesema mimiBarikiwa sana 🙏🏽
Ndio wakua, wote tulipitia hayo lakini sasa hivi madem nawaonaga kama takataka.
Nawala siwezi kuja sumbuliwa na dem tena. Ukifikaa mahala ambapo kyuuuma sio kipaumbele chako na ukiitaka waipata muda wowote utakao basi hawa wavuja damu utawaona kama takataka tu.
Inawezekana ukiwa na EI toshelezi,We jamaa una kifua kipana unawezaje.!?
Yani kabe alafu yanipalie et😂😂Kaka ungemeza hata mate basi
Au sio 😂😂🏃🏽♂️Wewe hujui maumivu ya mkeka wa odds zaidi ya 100 kuchanika dakika ya 90, hujui maumivu ndugu yangu
Denzel Washington....Usifanye hivyo, Roberto akikuona ni balaa zito, 9sec
Weeee kama ukishuhudi shuruba anayopata kwa mchepuko mikunjo anayokunjwa huko uwezi vumilia Kaka vijana wanafanya kweliNaona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote
Sio kihivyoo wewe. Between the lines umepigwaLengo n kuelimishana na kupeana moyo Ili tufarijike
Hii ni chai ya kutia moyoNaona unapita nyakati ambazo napita,nimejiapiza sitamwacha mwanamke ninayempenda kisa tubkalala na mwanaume mwingine Leo.Ataludi kwangu,ataoga na tutaomba Toba pamoja,baada ya hayo nitakuwa nae siku zote