Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa

Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa

Watu huwa wanaamini wanaumia na kitendo ambacho kimefanywa na mtu mwingine, lakini hapana kiuhalisia watu wanaumia na FIKRA zinazotafsiri hicho kitendo hicho, hivyo unaweza chagua kuumia au kutokuumia kwa kubadilisha FIKRA zako juu ya kitendo ambacho kimefanywa na mtu mwingine, adui wa maumivu anatoka kwenye FIKRA zako mwenyewe zinazotafsiri kitendo ila sio kwenye kitendo chenyewe kilichofanywa, chukulia huu mfano watu wawili wamewafumania wake zao, mmoja akaweka FIKRA zake kwa dunia imejaa watu ambao sio wakamilifu hivyo akachagua kumsamehe mke wake huyu mme hataumia wala kuteseka na maumivu kabisa, ila mwingine akachagua kuwa na FIKRA kuwa kitendo alichofanya mke wake ni kibaya sana anatakiwa kupewa adhabu kali na kuchagua kushikiria ilo kosa kwenye FIKRA, hivyo matokeo yake atateseka muda wote kutokana na FIKRA zake mwenyewe zitazopelekea hasira, visasi na magonjwa yasiyoambukiza, kwa tafsiri ya mfano huo tiba ya maumivu ipo kwenye akili yako mwenyewe kwa maana kila kitu kinaanzia kwenye FIKRA zako hivyo maamuzi kuumia au kutokuumia unayo mwenyewe kama umechagua kuumia utaumia ipasavyo FIKRA zitakuletea kila hisia za maumivu mpaka unyooke si umekubali kuumia kama utaki kuumia badilisha FIKRA zako kwa kuangalia tunaishia dunia ya watu ambao sio wakamilifu maumivu hayatakusogelea kwenye FIKRA zako. Adui yupo kwenye FIKRA zako sio kwenye kitendo ulichofanyiwa
 
Watu huwa wanaamini wanaumia na kitendo ambacho kimefanywa na mtu mwingine, lakini hapana kiuhalisia watu wanaumia na FIKRA zinazotafsiri hicho kitendo hicho, hivyo unaweza chagua kuumia au kutokuumia kwa kubadilisha FIKRA zako juu ya kitendo ambacho kimefanywa na mtu mwingine, adui wa maumivu anatoka kwenye FIKRA zako mwenyewe zinazotafsiri kitendo ila sio kwenye kitendo chenyewe kilichofanywa, chukulia huu mfano watu wawili wamewafumania wake zao, mmoja akaweka FIKRA zake kwa dunia imejaa watu ambao sio wakamilifu hivyo akachagua kumsamehe mke wake huyu mme hataumia wala kuteseka na maumivu kabisa, ila mwingine akachagua kuwa na FIKRA kuwa kitendo alichofanya mke wake ni kibaya sana anatakiwa kupewa adhabu kali na kuchagua kushikiria ilo kosa kwenye FIKRA, hivyo matokeo yake atateseka muda wote kutokana na FIKRA zake mwenyewe zitazopelekea hasira, visasi na magonjwa yasiyoambukiza, kwa tafsiri ya mfano huo tiba ya maumivu ipo kwenye akili yako mwenyewe kwa maana kila kitu kinaanzia kwenye FIKRA zako hivyo maamuzi kuumia au kutokuumia unayo mwenyewe kama umechagua kuumia utaumia ipasavyo FIKRA zitakuletea kila hisia za maumivu mpaka unyooke si umekubali kuumia kama utaki kuumia badilisha FIKRA zako kwa kuangalia tunaishia dunia ya watu ambao sio wakamilifu maumivu hayatakusogelea kwenye FIKRA zako. Adui yupo kwenye FIKRA zako sio kwenye kitendo ulichofanyiwa
Hii ni elimu ya saikolojia mkuu, wengi hatuna huu ufahamu
 
Hiyo hali ilinipata ila sikuelewa ni nini, ila muda ni mwalimu mzuri sana,sasa hivi nimeanza kupona ila siyo kiviile,maana bado nikikumbuka yale matukio umeme unaniisha.
Pole sana mkuu kudondoka si kuanguka songa mbele
 
  • Thanks
Reactions: M45
Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa, unaweza kulala mwili tu lakini akili na moyo zikakesha zikitafuta utulivu na usipatikane

Unaweza kuongea pekee yako na yakakupelekea kuona kama hukuwa na sababu ya kuzaliwa na huna thamani yoyote tena. Maumivu yanatesa

Maumivu ya MAPENZI huwa kama moto uliozimwa kwa kufunikiwa maana JOTO lake hubaki kwenye majivu likiendelea kufukuta ndani kwa ndani hata kama moto umeshazimik

Maumivu ya mapenzi yasikie kwa watu tu au kwenye masimulizi na yaone kwenye movie tu.
Daaaaa!! haya mapenzi kwanini lakini? Na aliekuumiza wala hajali kabisaa
 
Mapenzi, Mapenzi, Mapenzi. Hayo madude yapo overrated kinyama. Hivi inakuwaje yaani? Au ni emotional immaturity.
 
Mapenzi hayaumizi ila FIKRA zao ndo zinawaumiza na maamuzi ya kutokuumia yapo kwenye FIKRA zao wenyewe, uchepukaji wa mwenza hauumizi kinachoumiza ni FIKRA za mhusika zinazotafsiri hicho kitendo, hakuna hisia za maumivu pasipo kuwepo FiKRA za maumivu.
 
Mapenzi, Mapenzi, Mapenzi. Hayo madude yapo overrated kinyama. Hivi inakuwaje yaani? Au ni emotional immaturity.
Mapenzi hayaumizi ila FIKRA zao ndo zinawaumiza na maamuzi ya kutokuumia yapo kwenye FIKRA zao wenyewe, uchepukaji wa mwenza hauumizi kinachoumiza ni FIKRA za mhusika zinazotafsiri hicho kitendo, hakuna hisia za maumivu pasipo kuwepo FIKRA za maumivu, namna nzuri ya kukimbia maumivu kwenye FIKRA ni kukubali uhalisia wa dunia hakuna binadamu aliyemkamilifu ila watu wengi wanapingana na huu uhalisia wa dunia wametengeneza watu wao kwenye FIKRA kuwa hawatabadilika kamwe.
 
Back
Top Bottom