Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

Mtoto wa nzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2012
Posts
10,017
Reaction score
18,537
Ikumbukwe, nimeanzisha nyuzi kadhaa kuhusu mimi na mke wangu mpaka ikafika hatua ya kumwachia nyumba (nyumba niliyojenga kabla ya kumuita na kumtafutia kazi). Uzi upo humu. Hata niliporudi, sikuwa nalala naye, ingawa hamu zilikuwepo. Tulipima, na alijuta, akijua kosa lake. Hata kama alikuwa na mahusiano nje, sijawahi kumlala tena, huu ni mwezi wa kumi sasa. Ilibidi yeye ajishtaki kwao na kwetu kwa makosa yake.

Mimi ni mkimya sana, ni wa wale watu wa "sawa," "poa," "hapana." Sikubali. Tukaishi hivyo sana. Nikikumbuka alichonifanyia; kumtafutia kazi na akatembea na bosi wake. Fikiria, miaka 12 ya ndoa, mama wa nyumbani, unamhudumia kila kitu, unamtafutia kazi miezi mitatu, anakusaliti! Mimi sio muongeaji sana.

Nilibeba vilivyo vyangu nikaenda kuanza maisha mapya, nikamuachia nyumba. Yule bosi akamuacha. Ila, wanawake nyie! Akarudi analia. Akaenda kwao, nikaitwa, nikaombwa msamaha ambao hata sijashitaki. Nikawaambia tu, sijui kosa lake. Ila, turudi nyumbani. Akakataa mpaka kaka yangu au mama yangu aje ndio niondoke naye. Alijua baba alifariki nikiwa Form 2. Kama kumbukumbu zipo sawa, ilikuwa mechi ya Argentina na Nigeria 2002, mwezi wa 7.

Binti ambaye alikuwa demu wangu wa kwanza mwaka 2001, nikaja kufunga naye ndoa mwaka 2015. Alijuta sana. Yupo nyumbani kwetu (nyumba niliyojenga na kumuachia yeye na watoto). Wanawake nyie! Hii ni life experience. Mnatuonea sana wanaume. Wanaume tunazini kwa tamaa, mwanamke anazini kwa hisia. Mwanamke akishafanywa nje ya wewe, sio wako. Nasimamia hapo.

Wanawake! Hii ni hali halisi.

Pia soma: Nimemwachia mali zote, naanza upya
 
Nilibeba vilivyo vyangu nikaenda kuanza maisha mapya, nikamuachia nyumba. Yule bosi akamuacha. Ila, wanawake nyie! Akarudi analia. Akaenda kwao, nikaitwa, nikaombwa msamaha ambao hata sijashitaki. Nikawaambia tu, sijui kosa lake. Ila, turudi nyumbani. Akakataa mpaka kaka yangu au mama yangu aje ndio niondoke naye. Alijua baba alifariki nikiwa Form 2. Kama kumbukumbu zipo sawa, ilikuwa mechi ya Argentina na Nigeria 2002, mwezi wa 7.
Nimeishia hapa hapa.....Tatizo kumbe huna malezi ya Baba, pole kwa kufiwa na Mzazi muhimu sana ktk maisha yako.
 
Pole sana ndugu hawa viumbe sijui wanataka nini, kwasababu hata ufanye mazuri kiasi gani bado hawatosheki.

Jitahidi upate hata usingizi walau kwa masaa mawili.
 
Nimeishia hapa hapa.....Tatizo kumbe huna malezi ya Baba, pole kwa kufiwa na Mzazi muhimu sana ktk maisha yako.
Dingi ..Nimeishi maisha ya kitaaa huwezi amini.... Na nikafaulu ... Huku nasukuma ganja huku napiga ndondo ... Watoto wa kiwalani Kwa Gude "Brazilians lumo mpaka machimbo "Flamingos" sisi tulikuwa "STARLETS " unashuka nayo lumo, machimbo, masizi, Kwa limboa mpaka UDA BOVU,ukivuka hapo unaenda bakwata kwenda daraja tandika unarudi nayo mpaka ABIOLA ,ukitoka hapo unaenda nayo mpaka Gadafi square, unarudi nayo mpaka buza Kwa makinda...hapo kati palipo jengwa hospitali Kuna uwanja pembeni chama lao lakuitwa Argentina...weweeeacha aseeee...ilikuwa ikipigwa ndondo ... Ni hatari .... Namheshimu mama namlinda ila haujui.. soo Babu nimeishi kitaa kuliko unavyodhani... Nimeishi Sinza uwanja wa TP ..Sinza vatikani ..mto wa ng'ombe.... Nimeishi ukonga majumba sita.. Nimeishi ubungo kisiwani na nimesoma hapo mpaka darasa la nne ... Zilipo hostel za ubungo ilikuwa dampo....usinichukulie poa aseee.... Nimehustle dingii acha tu....
 
Katika maisha haya, hakikisha unakuwa na "deal breakers" yaani mipaka fulani ambayo ikivukwa hakuna kurudi nyuma. Utajiepusha na mengi na akili yako itakuwa na uwezo wa kubadilika kiroho safi kuendana na mabadiliko.

Machungu ya kihisia mara nyingi husababishwa na saikolojia.
 
Ikumbukwe, nimeanzisha nyuzi kadhaa kuhusu mimi na mke wangu mpaka ikafika hatua ya kumwachia nyumba (nyumba niliyojenga kabla ya kumuita na kumtafutia kazi). Uzi upo humu. Hata niliporudi, sikuwa nalala naye, ingawa hamu zilikuwepo. Tulipima, na alijuta, akijua kosa lake. Hata kama alikuwa na mahusiano nje, sijawahi kumlala tena, huu ni mwezi wa kumi sasa. Ilibidi yeye ajishtaki kwao na kwetu kwa makosa yake.

Mimi ni mkimya sana, ni wa wale watu wa "sawa," "poa," "hapana." Sikubali. Tukaishi hivyo sana. Nikikumbuka alichonifanyia; kumtafutia kazi na akatembea na bosi wake. Fikiria, miaka 12 ya ndoa, mama wa nyumbani, unamhudumia kila kitu, unamtafutia kazi miezi mitatu, anakusaliti! Mimi sio muongeaji sana.

Nilibeba vilivyo vyangu nikaenda kuanza maisha mapya, nikamuachia nyumba. Yule bosi akamuacha. Ila, wanawake nyie! Akarudi analia. Akaenda kwao, nikaitwa, nikaombwa msamaha ambao hata sijashitaki. Nikawaambia tu, sijui kosa lake. Ila, turudi nyumbani. Akakataa mpaka kaka yangu au mama yangu aje ndio niondoke naye. Alijua baba alifariki nikiwa Form 2. Kama kumbukumbu zipo sawa, ilikuwa mechi ya Argentina na Nigeria 2002, mwezi wa 7.

Binti ambaye alikuwa demu wangu wa kwanza mwaka 2001, nikaja kufunga naye ndoa mwaka 2015. Alijuta sana. Yupo nyumbani kwetu (nyumba niliyojenga na kumuachia yeye na watoto). Wanawake nyie! Hii ni life experience. Mnatuonea sana wanaume. Wanaume tunazini kwa tamaa, mwanamke anazini kwa hisia. Mwanamke akishafanywa nje ya wewe, sio wako. Nasimamia hapo.

Wanawake! Hii ni hali halisi.

Pia soma: Nimemwachia mali zote, naanza upya
Asante uliyeongeza Uzi wangu kuhusu hili... Sidanganyi... Nilimpenda sana huyu mwanamke...tunalea watoto tu ... As time goes on... Namuona ni mtu wa majuto sana ... Na Mimi nimesha move ...nimehamishiwa Wilaya jirani lakini ndani ya Mkoa huuhuu wa Mwanza. Hivyo narudigi weekend's..nacheza na watoto na yeye nampa vizawadi ..ila unamuna kabisa "ANATAKA"..... TUPUNGUZE TAMAAA..WOTE WAKE KWA WAUME....
 
Katika maisha haya, hakikisha unakuwa na "deal breakers" yaani mipaka fulani ambayo ikivukwa hakuna kurudi nyuma. Utajiepusha na mengi na akili yako itakuwa na uwezo wa kubadilika kiroho safi kuendana na mabadiliko.

Machungu ya kihisia mara nyingi husababishwa na saikolojia.
Mungu atusaidie... Wanawake wanalia sana na kusikilizwa haraka...ila amini nakwambia... Wanaume ndio tunateseka mnooo katika mahusiano.
 
Dingi ..Nimeishi maisha ya kitaaa huwezi amini.... Na nikafaulu ... Huku nasukuma ganja huku napiga ndondo ... Watoto wa kiwalani Kwa Gude "Brazilians lumo mpaka machimbo "Flamingos" sisi tulikuwa "STARLETS " unashuka nayo lumo, machimbo, masizi, Kwa limboa mpaka UDA BOVU,ukivuka hapo unaenda bakwata kwenda daraja tandika unarudi nayo mpaka ABIOLA ,ukitoka hapo unaenda nayo mpaka Gadafi square, unarudi nayo mpaka buza Kwa makinda...hapo kati palipo jengwa hospitali Kuna uwanja pembeni chama lao lakuitwa Argentina...weweeeacha aseeee...ilikuwa ikipigwa ndondo ... Ni hatari .... Namheshimu mama namlinda ila haujui.. soo Babu nimeishi kitaa kuliko unavyodhani... Nimeishi Sinza uwanja wa TP ..Sinza vatikani ..mto wa ng'ombe.... Nimeishi ukonga majumba sita.. Nimeishi ubungo kisiwani na nimesoma hapo mpaka darasa la nne ... Zilipo hostel za ubungo ilikuwa dampo....usinichukulie poa aseee.... Nimehustle dingii acha tu....
Kweli umehustle ila haso zako hazijakujenga. ..unakuja kuendeshwa na Mwanamke? Anakudharau sana
 
Asante uliyeongeza Uzi wangu kuhusu hili... Sidanganyi... Nilimpenda sana huyu mwanamke...tunalea watoto tu ... As time goes on... Namuona ni mtu wa majuto sana ... Na Mimi nimesha move ...nimehamishiwa Wilaya jirani lakini ndani ya Mkoa huuhuu wa Mwanza. Hivyo narudigi weekend's..nacheza na watoto na yeye nampa vizawadi ..ila unamuna kabisa "ANATAKA"..... TUPUNGUZE TAMAAA..WOTE WAKE KWA WAUME....
We dogo bado unampemda mrudie tu muendelee kudinyana
 
Kweli umehustle ila haso zako hazijakujenga. ..unakuja kuendeshwa na Mwanamke? Anakudharau sana
Ameniendesha katika lipi Kaka... Sijafanikiwa kuwa mjinga ... Kuna mwamba ..amekumbushia Uzi ameupandisha Kule juu mwanzoni... Soma na ule na huu halafu utanishukuru...... Ama nitafute changizi zangu ....
 
Pole sana.....njoo kwangu utatulia na kamwe hautojutia
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Hiyo ndo story ya nyuma, unasema nyote ni watumishi wa umma, story ya leo unadai ulimtafutia kazi wewe na akatembea na boss wake, ulimtafutia kazi serikalini!?, Pili leo kuna sehemu unadai mlifunga ndoa 2015, wakati kwenye story ya 2022 ya nyuma unadai ndoa haikudumu hata mwaka!?,.. Kwenye kichwa Cha habari unadai ni ndoa ya miaka 12, kwenye maelezo unadai mlijuana 2001, baba yako akafariki 2002, mkaoana 2015, na 2022 ukaleta malalamiko ndoa imekushinda kabla ya mwaka kuisha!???😂😂😂... Kuna post leoleo umetaja bangi na viwanja vya wahuni vingi vya Dar. Naanza kuhisi hata hii story yako Ina uongo mwingi, au ni ya kutunga tu kuna mwanamke umemuelewa sana anakuzingua, ukamvutia bangi ili umtungie story uilete JF ukiwa na msukumo wa bangi🤣
 
Hiyo ndo story ya nyuma, unasema nyote ni watumishi wa umma, story ya leo unadai ulimtafutia kazi wewe na akatembea na boss wake, ulimtafutia kazi serikalini!?, Pili leo kuna sehemu unadai mlifunga ndoa 2015, wakati kwenye story ya 2022 ya nyuma unadai ndoa haikudumu hata mwaka!?,.. Kwenye kichwa Cha habari unadai ni ndoa ya miaka 12, kwenye maelezo unadai mlijuana 2001, baba yako akafariki 2002, mkaoana 2015, na 2022 ukaleta malalamiko ndoa imekushinda kabla ya mwaka kuisha!???😂😂😂... Kuna post leoleo umetaja bangi na viwanja vya wahuni vingi vya Dar. Naanza kuhisi hata hii story yako Ina uongo mwingi, au ni ya kutunga tu kuna mwanamke umemuelewa sana anakuzingua, ukamvutia bangi ili umtungie story uilete JF ukiwa na msukumo wa bangi🤣
Mawazo ni mengisana mpaka anapoteza kumbukumbu msamehe bure tu, Mkeo kufirwa na boss wake inaumiza sana Wewe sikia tu kwa wengine siku ukigundua Mkeo anafirwa na boss wake ndio utaelewa inauma kiasi gani yaan wewe haumfiri Ila boss wake anamfira inauma kiasi gani?
 
Back
Top Bottom