Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

🤣🤣🤣 Idiot weak man
What more can I say for such a fool like you!?? ... Rather than taking a bow a thanking God... Do even have a mouth to feed!?? ... I do wonder .. your amongst them dependants..living to your brother's in law ..once your sister fucked you're fucked too.... Damn
 
Ikumbukwe, nimeanzisha nyuzi kadhaa kuhusu mimi na mke wangu mpaka ikafika hatua ya kumwachia nyumba (nyumba niliyojenga kabla ya kumuita na kumtafutia kazi). Uzi upo humu. Hata niliporudi, sikuwa nalala naye, ingawa hamu zilikuwepo. Tulipima, na alijuta, akijua kosa lake. Hata kama alikuwa na mahusiano nje, sijawahi kumlala tena, huu ni mwezi wa kumi sasa. Ilibidi yeye ajishtaki kwao na kwetu kwa makosa yake.

Mimi ni mkimya sana, ni wa wale watu wa "sawa," "poa," "hapana." Sikubali. Tukaishi hivyo sana. Nikikumbuka alichonifanyia; kumtafutia kazi na akatembea na bosi wake. Fikiria, miaka 12 ya ndoa, mama wa nyumbani, unamhudumia kila kitu, unamtafutia kazi miezi mitatu, anakusaliti! Mimi sio muongeaji sana.

Nilibeba vilivyo vyangu nikaenda kuanza maisha mapya, nikamuachia nyumba. Yule bosi akamuacha. Ila, wanawake nyie! Akarudi analia. Akaenda kwao, nikaitwa, nikaombwa msamaha ambao hata sijashitaki. Nikawaambia tu, sijui kosa lake. Ila, turudi nyumbani. Akakataa mpaka kaka yangu au mama yangu aje ndio niondoke naye. Alijua baba alifariki nikiwa Form 2. Kama kumbukumbu zipo sawa, ilikuwa mechi ya Argentina na Nigeria 2002, mwezi wa 7.

Binti ambaye alikuwa demu wangu wa kwanza mwaka 2001, nikaja kufunga naye ndoa mwaka 2015. Alijuta sana. Yupo nyumbani kwetu (nyumba niliyojenga na kumuachia yeye na watoto). Wanawake nyie! Hii ni life experience. Mnatuonea sana wanaume. Wanaume tunazini kwa tamaa, mwanamke anazini kwa hisia. Mwanamke akishafanywa nje ya wewe, sio wako. Nasimamia hapo.

Wanawake! Hii ni hali halisi.

Pia soma: Nimemwachia mali zote, naanza upya


Kosa lako kubwa sana kama la jinai ulifanya bila kujua unafanya kosa kubwa sanaaaaa ni kumtafutia kazi mwanamke ambaye ni mke wako, hapo ulijimaliza, kama ulitegemea mkeo aende kutafuta fedha ujue kabisa ulijimaliza, ungemuacha nyumbani akuhudumie wewe na kisha wewe utoe huduma kwa familia, full stop..!!
 
Kosa lako kubwa sana kama la jinai ulifanya bila kujua unafanya kosa kubwa sanaaaaa ni kumtafutia kazi mwanamke ambaye ni mke wako, hapo ulijimaliza, kama ulitegemea mkeo aende kutafuta fedha ujue kabisa ulijimaliza, ungemuacha nyumbani akuhudumie wewe na kisha wewe utoe huduma kwa familia, full stop..!!
Mkuu... Si umesoma vizuri nilichoandika ... Naamini NAAMINI SIKUFANYA VIBAYA.... Amenizalia watoto watatu . Siwezi kuwa na kinyongo Wala chuki naye... Amejuta ameomba msamaha wa kutosha ..na kunikosea kote huko sikusema kwao Wala kwetu.... Najua wapi mtao nilaumu ... Lakini Sasa tutaishi kama vile brother'n sister... Lakini ana hamu Kali sana ..anasema adhabu iliyonipa imetosha nisamehe ...
 
Njia nzuri ya kutemana na lifeministi ni kuliachia kila kitu ikiwemo watoto
 
Dingi ..Nimeishi maisha ya kitaaa huwezi amini.... Na nikafaulu ... Huku nasukuma ganja huku napiga ndondo ... Watoto wa kiwalani Kwa Gude "Brazilians lumo mpaka machimbo "Flamingos" sisi tulikuwa "STARLETS " unashuka nayo lumo, machimbo, masizi, Kwa limboa mpaka UDA BOVU,ukivuka hapo unaenda bakwata kwenda daraja tandika unarudi nayo mpaka ABIOLA ,ukitoka hapo unaenda nayo mpaka Gadafi square, unarudi nayo mpaka buza Kwa makinda...hapo kati palipo jengwa hospitali Kuna uwanja pembeni chama lao lakuitwa Argentina...weweeeacha aseeee...ilikuwa ikipigwa ndondo ... Ni hatari .... Namheshimu mama namlinda ila haujui.. soo Babu nimeishi kitaa kuliko unavyodhani... Nimeishi Sinza uwanja wa TP ..Sinza vatikani ..mto wa ng'ombe.... Nimeishi ukonga majumba sita.. Nimeishi ubungo kisiwani na nimesoma hapo mpaka darasa la nne ... Zilipo hostel za ubungo ilikuwa dampo....usinichukulie poa aseee.... Nimehustle dingii acha tu....
Unachanganya mambo mkuu!Kuishi maisha ya kitaa na kuwa na malezi ya baba,ni vitu viwili tofauti sana.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Muolee mke mwingine mkuu!Utapewa mbunyeto mpaka uikimbue.😂😂😂
 
Ulivunja kanuni ya kwanza ya Wanaume.
(Usimtafutie mwanamke kazi).
Roho ya kiafrika hii,wangapi unawasaidia hali si ndugu zako.
Je wanawake wote wanageuka,akigeuka ni yeye na upumbavu wake we inakuathiri nini kwenye direction ya maisha yako.
Mwanandoa anaejitambua achepuki.
 
Back
Top Bottom