Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

🀣🀣🀣 Idiot weak man
What more can I say for such a fool like you!?? ... Rather than taking a bow a thanking God... Do even have a mouth to feed!?? ... I do wonder .. your amongst them dependants..living to your brother's in law ..once your sister fucked you're fucked too.... Damn
 


Kosa lako kubwa sana kama la jinai ulifanya bila kujua unafanya kosa kubwa sanaaaaa ni kumtafutia kazi mwanamke ambaye ni mke wako, hapo ulijimaliza, kama ulitegemea mkeo aende kutafuta fedha ujue kabisa ulijimaliza, ungemuacha nyumbani akuhudumie wewe na kisha wewe utoe huduma kwa familia, full stop..!!
 
Mkuu... Si umesoma vizuri nilichoandika ... Naamini NAAMINI SIKUFANYA VIBAYA.... Amenizalia watoto watatu . Siwezi kuwa na kinyongo Wala chuki naye... Amejuta ameomba msamaha wa kutosha ..na kunikosea kote huko sikusema kwao Wala kwetu.... Najua wapi mtao nilaumu ... Lakini Sasa tutaishi kama vile brother'n sister... Lakini ana hamu Kali sana ..anasema adhabu iliyonipa imetosha nisamehe ...
 
Njia nzuri ya kutemana na lifeministi ni kuliachia kila kitu ikiwemo watoto
 
Unachanganya mambo mkuu!Kuishi maisha ya kitaa na kuwa na malezi ya baba,ni vitu viwili tofauti sana.
 
Muolee mke mwingine mkuu!Utapewa mbunyeto mpaka uikimbue.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ulivunja kanuni ya kwanza ya Wanaume.
(Usimtafutie mwanamke kazi).
Roho ya kiafrika hii,wangapi unawasaidia hali si ndugu zako.
Je wanawake wote wanageuka,akigeuka ni yeye na upumbavu wake we inakuathiri nini kwenye direction ya maisha yako.
Mwanandoa anaejitambua achepuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…