Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Naungaa mkono hojaHebu tuambie ukweli uliagiza au ulinunua mkononi mwa mtu?
1. Maana DLE siyo gari ya 2021.
2. 8m? Ulinunua spea gani za bei hiyo? Hata engine na Gearbox zinaweza zisifike huko.
3. Oil leak ni matatizo ya kawaida kwenye European sababu seals ni nyingi. And seals mpya zipo zinauzwa.
4. Back then Aug 2021 niliwahi kuandika huu uzi kwamba gari za Ulaya hazitaki ubabaishaji. Hnaweza kupitia usome. Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa
5. Kuna mtu ana X3 ni namba DXD, zaidi ya kumaliza brush za starter na kuua washer fluid motors zote mbili hajawahi pata tatizo lingine.,
Yapo mengi ya kuandika kwa kweli.
European cars ni ugonjwa wa moyo.Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Sisi ngozi nyeusi hatuwezi kutunza magari. Hivyo kununua gari ya mjerumani ni kama kujitafutia Stroke kwa pesa zako mwenyewe.Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Pale mluga luga unapo kua wewe mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ndoa ya kanisani kwenye shida na rahaAisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Si ulitaka uwa "unique"?. ndio hivyo sasa. Team Japan gonga like na leo ni kumwagila moyo day,huku unaichek toyota yako chati bila wasiwasi.Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Majanga balaaSi ulitaka uwa "unique"?. ndio hivyo sasa. Team Japan gonga like na leo ni kumwagila moyo day,huku unaichek toyota yako chati bila wasiwasi.
PoleeeAisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Niliagiza BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Hana gari huyo banaa hiyo namba DL ikitoka mwaka 2018 sikuzote njia ya MTU mwongo ni fupi....Kwa kifupi huyo jamaa hajui hata kidogo mambo ya magari na hata pikpik yenyewe hanaUmeyakanyaga
Kama ndo hivo basi anayumbaHana gari huyo banaa hiyo namba DL ikitoka mwaka 2018 sikuzote njia ya MTU mwongo ni fupi....Kwa kifupi huyo jamaa hajui hata kidogo mambo ya magari na hata pikpik yenyewe hana
We dada unaongea nn? Hasira za nn? Au ndo usingo Maza?Mtoa mada ni muongo tena uongo wake ni wakishamba na hii gari IPO Facebook inauzwa nashangaa jamaa anaharibu biashara za watu MTU mwenye akili timamu huwezi kupost utumbo alafu baadhi ya watu wanaamini Tu...
Sikuhizi kumeibuka watu kazi Yao ni kuanzisha mada alafu anasubiri comments ili moyo wake ufurahie.
Hapa jamiiforum wapo wengi wenye ujinga kichwani
Mwamba aliwahi kuleta Range humu akidai ni yake, wahuni wakagundua ilikuwa befoward na ikauzwa huko sijui Zambia..Mtoa mada ni muongo tena uongo wake ni wakishamba na hii gari IPO Facebook inauzwa nashangaa jamaa anaharibu biashara za watu MTU mwenye akili timamu huwezi kupost utumbo alafu baadhi ya watu wanaamini Tu...
Sikuhizi kumeibuka watu kazi Yao ni kuanzisha mada alafu anasubiri comments ili moyo wake ufurahie.
Hapa jamiiforum wapo wengi wenye ujinga kichwani