Maumivu ya wamiliki wa European cars!

Maumivu ya wamiliki wa European cars!

Shida mnaiga. Nunua kitu kwa uwezo wako.
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
 
Mwamba aliwahi kuleta Range humu akidai ni yake, wahuni wakagundua ilikuwa befoward na ikauzwa huko sijui Zambia..

Ni mzinguaji sana!!
Sijui anajisikiaje akifanya masihara ya kizamani....kuna jamaa yangu member mwenzangu huwa anafanya makusudi kupost mada za uongo kwenye jukwaa la mahusiano alafu baada ya muda anakuta wajinga wenzake wanampa pole na wengine wanamtia moyo kumbe anazingua tu
 
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?
Hii bmw X3 ni shida sana, Bora 5 series au 7 series
 
Sijui anajisikiaje akifanya masihara ya kizamani....kuna jamaa yangu member mwenzangu huwa anafanya makusudi kupost mada za uongo kwenye jukwaa la mahusiano alafu baada ya muda anakuta wajinga wenzake wanampa pole na wengine wanamtia moyo kumbe anazingua tu
Huyu huwa anapenda kuchangamsha genge tu lakini ni mtu mmoja smart sana!

Ninauhakika na hili..
 
Unauza Tsh ngapi? Nataka niome kama kweli umechoka. 🤣
 
Hebu tuambie ukweli uliagiza au ulinunua mkononi mwa mtu?

1. Maana DLE siyo gari ya 2021.

2. 8m? Ulinunua spea gani za bei hiyo? Hata engine na Gearbox zinaweza zisifike huko.

3. Oil leak ni matatizo ya kawaida kwenye European sababu seals ni nyingi. And seals mpya zipo zinauzwa.

4. Back then Aug 2021 niliwahi kuandika huu uzi kwamba gari za Ulaya hazitaki ubabaishaji. Hnaweza kupitia usome. Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

5. Kuna mtu ana X3 ni namba DXD, zaidi ya kumaliza brush za starter na kuua washer fluid motors zote mbili hajawahi pata tatizo lingine.,

Yapo mengi ya kuandika kwa kweli.
Tatizo kubwa Mkuu watz wengi hatujui magari yanataka nini. Hata hizo Toyota wanazosema ni rahisi kuzimudu siyo kweli, nyingi ni mbovu na zinatengenezwa na mafundi wababaishaji. Urahisi wa upatikanaji wa Spares fake sio urahisi wa kumiliki gari. Utofauti wa bei ya Genuine Spare Parts mpya ya Toyota na European Cars ni mdogo sana na sio kama watu wanavyodanganyana humu. Spare Parts nyingi za Toyota wanazosema ni cheap ni used siyo mpya!
 
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga gari haiuziki, Nani anataka msala?

Unaweza tumia hata 80m kama hauna busara ya kujifunza mambo na kwenda kwa mafundi wanaojielewa na ukawana.

Mafundi wa haya magari ni wepesi sana ku badili spare maana Hawana ujuzi, hakuna tofauti ya Gari la Ulaya na Japan, tofauti ni ufundi tu.
 
Tatizo kubwa Mkuu watz wengi hatujui magari yanataka nini. Hata hizo Toyota wanazosema ni rahisi kuzimudu siyo kweli, nyingi ni mbovu na zinatengenezwa na mafundi wababaishaji. Urahisi wa upatikanaji wa Spares fake sio urahisi wa kumiliki gari. Utofauti wa bei ya Genuine Spare Parts mpya ya Toyota na European Cars ni mdogo sana na sio kama watu wanavyodanganyana humu. Spare Parts nyingi za Toyota wanazosema ni cheap ni used siyo mpya!
acha fix hizogari vitu vyake vipo juu sana. usilinganishe na gari za japani vituvyao bei ni nafuu.
 
Spare zilizo bwerere ni Used na fake ila genuine parts gharama ni almost sawa na za european cars.
At least kuna spares zitakazo kupeleka miezi sita.
Hapo vile vie uelewe kuwa almost 90% ya magari ya kijapan nchini ni used.
Life span ya gari 3~5 years.
Original spares za kukaa miaka 10~15 za nini?
 
hakuna tofauti ya Gari la Ulaya na Japan, tofauti ni ufundi tu.
Utofauti upo and ni mkubwa sana.

European wako ahead sana kwenye tech kitu ambacho hakipo kwa mjapani.

Ingawa inaweza kuwa rahisi kufix gari ya Europe hasa kwa sababu ya availbility ya resources kama manuals n.k. kitu ambacho ni kigumu kupata kwa japanese cars (Japanese cars nyingi manual zake zipo kwa kijapani au kirusi Unless upate Japanese car ambayo inauza world market mfano LC, LC Prado, Rav 4, Camry, Corolla, n.k.
 
acha fix hizogari vitu vyake vipo juu sana. usilinganishe na gari za japani vituvyao bei ni nafuu.

Spark plug ya 1ZZ FE ukienda toyota ni Tsh. 45,000/= kwa moja, tena siyo Iridium. So, kwa zote 4 ni Tsh.180,000/=

The same spark plug ukienda ilala inacheza kati ya Tsh. 7000/= mpaka Tsh. 10,000/= Na hizi ndio mnaletewa, Maana mkiletewa original hamnunui.

Hizi spare fake zingepigwa pini wanaoendesha mijapani wangekuwa wachache sana. Na wengi gari zao zingekuwa vimeo kama ilivyo sasa tu.
 
Utofauti upo and ni mkubwa sana.

European wako ahead sana kwenye tech kitu ambacho hakipo kwa mjapani.

Ingawa inaweza kuwa rahisi kufix gari ya Europe hasa kwa sababu ya availbility ya resources kama manuals n.k. kitu ambacho ni kigumu kupata kwa japanese cars (Japanese cars nyingi manual zake zipo kwa kijapani au kirusi Unless upate Japanese car ambayo inauza world market mfano LC, LC Prado, Rav 4, Camry, Corolla, n.k.

If you think deep, mimi na wewe tunachoongea ni hicho hicho, Sema wewe mjuaji.

Hiyo manual wewe umeisoma Mara ngapi? Au mafundi wa ki Tanzania wa mewahi isoma Mara ngapi?

Mfano : Nisha kuwa na BM ikawa Ina miss nikaambiwa ninunue pump baada ya vipimo, I ordered from Nairobi, ikaendelea kuwa na shida.

Nikaipeleka Nairobi, wakakuta Kuna cable ya air cleaner iko lose wakaisukuma ndani Gari mpya.

Hasara nilizopata:

1. Pump 700,000
2. Kulibeba Nairobi na kurudi 2m
3. Mda lililopark.

Tatizo hapo ni Gari la kijeruman au ni ujinga wangu na mafundi wa Ki Tanzania?

Sasa peleka vigari vya kijapan, mpaka fundi asiyejua chochote anafungua kila kitu inakuwa mpya, why? Mazoea na hayo magari.
 
Spark plug ya 1ZZ FE ukienda toyota ni Tsh. 45,000/= kwa moja, tena siyo Iridium. So, kwa zote 4 ni Tsh.180,000/=

The same spark plug ukienda ilala inacheza kati ya Tsh. 7000/= mpaka Tsh. 10,000/= Na hizi ndio mnaletewa, Maana mkiletewa original hamnunui.

Hizi spare fake zingepigwa pini wanaoendesha mijapani wangekuwa wachache sana. Na wengi gari zao zingekuwa vimeo kama ilivyo sasa tu.
spare zinakua naviwango vyabei kulingana na ubora.hapahapa bongo zipo feki na original.lakini kwa gari zaulaya spare zake nibei kubwa Hadi inapelekea wamiliki kununua yused. halafu Kuna gari nyingine zaulaya spare zake bongo hazopo Hadi uagize nje.
 
Hiyo manual wewe umeisoma Mara ngapi? Au mafundi wa ki Tanzania wa mewahi isoma Mara ngapi?
Manuals mimi ninazo na ninazitumia mara nyingi sana nikiwa nafanya repairs za magari. Sijui kwa mafundi wengine siwezi kuwasemea.




Mfano : Nisha kuwa na BM ikawa Ina miss nikaambiwa ninunue pump baada ya vipimo, I ordered from Nairobi, ikaendelea kuwa na shida.

Hapo hakukuwa na kipimo zaidi ya kukariri ambako kumezoeleka kwamba misi kwenye gari inasababishwa na pump, plugs and the likes.


Tatizo hapo ni Gari la kijeruman au ni ujinga wangu na mafundi wa Ki Tanzania?

Sasa peleka vigari vya kijapan, mpaka fundi asiyejua chochote anafungua kila kitu inakuwa mpya, why? Mazoea na hayo magari.
Bado narudia gari ya kijerumani ni rahisi kufix kuliko ya kijapani. Kama hujapata shida kwenye gari ya kijapani ambayo ilikusumbua kwa muda mrefu huwezi kuelewa ninachosema.

I assure you, kama nikiweka mzani asilimia ya gari za europe nilizofix na nilizofeli vs asilimia ya gari za japan nilizofix na nilizofeli.

Asilimia ya Gari za Europe nilizofix iko juu (Tena matatizo yaliyoshindikana). Maana anakuwa ameshazunguka nalo na halijapona so kilichobaki ni either kulipaki ndani au kujaribu mafundi.
 
Atakua bado yuko kwenye Njozi ya BMW...wabongo wamevurugwa sana kurudisha mpila kwa kipa ni ngumu hata kutoa nje kinachobakia ni kuharibu wengine wanaohitaji kuwa na hayo magari...
 
Back
Top Bottom