Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Si muislamu wewe au wewe mkristo?Mie mnyamwezi wa Ndevelwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si muislamu wewe au wewe mkristo?Mie mnyamwezi wa Ndevelwa.
Mie muislam na jina langu nimerithi jina la mtume(s.a.w).Si muislamu wewe au wewe mkristo?
Mbona akili yako iko Kikristo na chuki dhidi ya waislamu wenzako ?Mie muislam na jina langu nimerithi jina la mtume(s.a.w).
Unapokelewa na Basha Bazi?!ukisema tu wewe ni mzanzibari basi ilikuwa unapokelewa.
Hayo ni mafundisho uliyapata kanisani , hulaumikiUnapokelewa na Basha Bazi?!
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Turkish, Ethiopian, Air France, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka hapa Unguja tunaendekeza ufedhuli.
NB: Hapa unguja tunakwama wapi?
Hakuna chuki shekh ila waliouliwa wakati wa mapinduzi walikuwa wachache tuMbona akili yako iko Kikristo na chuki dhidi ya waislamu wenzako ?
Kwa taarifa yako wakati wa Mapinduzi waliouliwa maelfu ya waislamu na wa Tanganyika wenzako na wa Zanzibar wengi hata wasio na asili ya Uarabuni walikimbilia nchi Za kiarabu na kule UAE ukisema tu wewe ni mzanzibari basi ilikuwa unapokelewa.
Chuki zako kwa Wazanzibari zimezidi wakristo, Hatari utafikiri ni mdogo wake Nyerere
NAJIULIZA KWELI SUALA HILO, PIA HAPA MAFIA TUNAKWAMA WAPI?Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Turkish, Ethiopian, Air France, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka hapa Unguja tunaendekeza ufedhuli.
NB: Hapa unguja tunakwama wapi?
Lazima utasema hivyo kwa dharau kwa sababu mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufi, shukrani sana na ni maadui zako waislamuHakuna chuki shekh ila waliouliwa wakati wa mapinduzi walikuwa wachache tu
Wengi wao walikuwa magaidi ya kiarabu
Wewe Mtanganyika wa visiwani huwezi kuiona sababu umeshalishwa sumu kuvu!.
Zanzibar wanajenga barabara za maana sana
Mkuu mie sina chuki na wazanzibari hata upunje.Mbona akili yako iko Kikristo na chuki dhidi ya waislamu wenzako ?
Kwa taarifa yako wakati wa Mapinduzi waliouliwa maelfu ya waislamu na wa Tanganyika wenzako na wa Zanzibar wengi hata wasio na asili ya Uarabuni walikimbilia nchi Za kiarabu na kule UAE ukisema tu wewe ni mzanzibari basi ilikuwa unapokelewa.
Chuki zako kwa Wazanzibari zimezidi wakristo, Hatari utafikiri ni mdogo wake Nyerere
Ila kidogo wengi wanaanza kumuelewa Hawa mafisadi ndio wanajatibu kupiga propaganda akiwemo yule waziri alie jiuzuru kisa kampuni yake imenyang'anywa leseni ya kuuza ulevi zenjiThree clap 👏🏾 👏🏾 👏🏾 mkuu.
Na nje ya mada kidogo, Wazanzibari hawaoni faida ya Dr. Mwinyi hata anayoyafanya sababu wameshajazwa roho ya katili ya kutojua kizuri.
Kwa sasa wanatumia ujinga wa wazanzibari kuwaambia jamaa ni mbaya na kutafuta udhaifu wake ndiyo wananchi wanalishwa huo.
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Turkish, Ethiopian, Air France, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka hapa Unguja tunaendekeza ufedhuli.
NB: Hapa unguja tunakwama wapi?
Ila kidogo wengi wanaanza kumuelewa Hawa mafisadi ndio wanajatibu kupiga propaganda akiwemo yule waziri alie jiuzuru kisa kampuni yake imenyang'anywa leseni ya kuuza ulevi zenji
Hizo ni fitna za Kuna S. If you know you knowIle bandari alitupiga changa la macho eti kuna wafaransa. Amestukiwa kumbe kampa yule kijana wa Mpendaye wanakula pamoja
Kama ni fitna tunasubiri majibu kutoka kwa wote waliosemwa maana yaliwekwa hadharani na mengine ya tenda Za petroliHizo ni fitna za Kuna S. If you know you know
Unajua jamaa alivyokuchagua kuwa waziri wa Utalii nilishangaa sana! Hivyo sishangai fitna zako. Enzi za Shein ulimchongea sana yule waziri wa upinzani bila kujua bodygurd wa Sheni ni ndugu yake na jamaa hivyo alikuwa akimpasha unafki wote mnaopeleka Kwa presida. Mbaya Zaidi bwana mkubwa alikuwa hawezi kumtumbua mshikaji.Kama ni fitna tunasubiri majibu kutoka kwa wote waliosemwa maana yaliwekwa hadharani na mengine ya tenda Za petroli
mengine haya mimi sijawa CCM hata siku moja wala sijishughulishi na haramUnajua jamaa alivyokuchagua kuwa waziri wa Utalii nilishangaa sana! Hivyo sishangai fitna zako. Enzi za Shein ulimchongea sana yule waziri wa upinzani bila kujua bodygurd wa Sheni ni ndugu yake na jamaa hivyo alikuwa akimpasha unafki wote mnaopeleka Kwa presida. Mbaya Zaidi bwana mkubwa alikuwa hawezi kumtumbua mshikaji.
Kaeni Kwa kutulia kampuni yenu ndio kwisha habari yake; leseni ndio mmeishanyimwa.
Mpaka hapo nadhani umenielewa.