Mauzauza yamenikuta chumbani kwangu

Mauzauza yamenikuta chumbani kwangu

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
salam.

Nimekaa hapa kitandani mida hii huku nikiwa na peruzi peruzi kidgo humu ndani.....mara ghafla nashangaa taa inazma yenyewe na umeme upo.

nikainuka taratibu mpaka kwenye switch nkawasha....ile nakaa tu kitandani ikazima tena....nikarudi tena kuwasha......ile nijiweke fresh kitandani sa hv ndo naona inazima tena...

Sasa sijui ndo ndugu zake mshana wazee wa ngwasuma wametinga tayar pande hz au vp......Maombi yenu tafadhari.

Mana kama ni kutubu mi nilienda jumapili wala sikubisha.

Usiku mwema jaman....mniombee..
 
Ita kimada chako ulale nacho la sivyo kesho utaleta mrejesho hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] leo nimaamini waafrica hatupendani......wangekua mbele wangenambia " dont worry we gona call 911 for you"[emoji13]
 
salam.

Nimekaa hapa kitandani mida hii huku nikiwa na peruzi peruzi kidgo humu ndani.....mara ghafla nashangaa taa inazma yenyewe na umeme upo.

nikainuka taratibu mpaka kwenye switch nkawasha....ile nakaa tu kitandani ikazima tena....nikarudi tena kuwasha......ile nijiweke fresh kitandani sa hv ndo naona inazima tena...

Sasa sijui ndo ndugu zake mshana wazee wa ngwasuma wametinga tayar pande hz au vp......Maombi yenu tafadhari.

Mana kama ni kutubu mi nilienda jumapili wala sikubisha.

Usiku mwema jaman....mniombee..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] usijali ikizima tena usiiwashe itawaka yenyewe, chama la wana linapita usawa wa paa lako
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] usijali ikizima tena usiiwashe itawaka yenyewe, chama la wana linapita usawa wa paa lako
jaman mnaona sasa mshana anayoongea jaman.....kesho asubub itabid mniangalie kama nipo salama wapendwa wa bwana
 
Back
Top Bottom