Mauzo soko ya hisa Dar es Salaam yashuka kutoka bilioni 32 hadi billion 3.3

Wakati huu ambao hisa zimeshuka ndio muda mzuri wa kununua za kutoka zikipanda unavuna mara dufu
 
naogopa kutake risk kweli yaani!!
 
Kwa hali hii ukiona kuna watu wanafurahia hiyo hali ujue amelogwaaa huyo
 
Wakati huu ambao hisa zimeshuka ndio muda mzuri wa kununua za kutoka zikipanda unavuna mara dufu
Hisa ni SEHEMU YA UMILIKI WA KAMPUNI kwa asilimia hizo, utakazojitwisha. Unaponunua hisa, unashare faida na hasara kwa hiyo ni jukumu lako kuangalia aina ya uwekezaji na matarajio ya kibiashara ya kampuni unayotaka kuimiliki kwa asilimia hizo unazozimudu.

Ikiwa tishio la mnyauko wa biashara na kukosekana na usawa wa ushindani katika sekta kunakotokana na kuingiliwa na 'maagizo kutoka juu' kutaendelea kushamiri namna hii, basi unaweza kujikuta unanunua hisa za kampuni inayoelekea ukingoni.

Mdororo wa biashara hauna mipaka na uwekezaji huanzia kwenye fursa, basi tujifunze kusoma alama za nyakati na athari za siasa katika uchumi kabla hatujaweka mikono kichwani.

Kuna kakitu sikumbuki vyema jina lake lakini something like Fair Competition Commission sijui kana jukumu gani katika kuhakikisha uwekezaji unafanyika kwenye platform iliyonyooka?
 
Nadhani siyo wakati sahihi wa kununua hisa
The best time is to buy when there is blood in the streets. Biashara nikubuy low and sell high, sasa kama kuna anguko la bei people will rush to sell and the price will decline "huo ndio wakati mwafaka kununua hisa"
 
Mijizi ndio imetufikisha hapa tulipo sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji111]
 
Thanks mkuu. Japo u ain't certain but your explanations make sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…