salthanks
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 3,284
- 6,854
Mkuu hata forex hamtoachwa salama katika awamu hii..tingatinga@officeNyie bakini na vi wonder vyenu acha mimi nikomae na forex!!
Ndio maana hamna report za uchumi kule bot tokea mwezi wa tano!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata forex hamtoachwa salama katika awamu hii..tingatinga@officeNyie bakini na vi wonder vyenu acha mimi nikomae na forex!!
Ndio maana hamna report za uchumi kule bot tokea mwezi wa tano!!
Hata mkipewa ushahidi, kama hamuupendi huwa hamuutumii.Me naomba kuhoji jambo!
Kwa nyie ambao mnalalamika kuwa uchumi unakwenda kubaya na mapatao yanapungua nina maswali kwenu.
(1) Naomba kuwauliza je, mnaweza kutupatia takwimu sahihi juu ya hizo kampuni zinazoongelewa hapo juu ushiriki wake katika kulipa kodi kwa serikali?! Yaani mnipatie ushahidi kuwa hizi kampuni mwanzo zilikuwa zinalipa kodi na sasa magufuri ameingia ameziongezea kodi mara mbili zaidi, au amezikataza kupeleka bidhaa nje, au amezifilisi. Hebu nambieni mnachokijua ambacho mwanzo kilikuwapo sawa na sasa magufuri amekuja kuharibu na muongee kwa ufasaha bila lawama.
(2). Hebu naomba mnambie mlishawahi kufuatilia kipindi cha nyuma, kuwa hizi kampuni kiutendaji zilikuwa zinafanyaje kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi?!
(3). Naomba mnijuze ni kipi hasa mnachotaka kutoka serikalini inapokuja swala la kudai kodi, why hamjui kujenga hoja?! Kwann mnakuwa ni watu wa kulalamika na si wakuelezea kile kinachokosewa na kukitolea ushauri wa suluhu ya nini kifanyike. Kwann mnakuwa kama watoto vichanga kutwa kuliaaa tu na usiseme ni nini wataka haujui kuna watu wanakerekea ingawa na wao wanapitia magumu haya.
Kwakweli ifike wakati watz tuanze kuwa watu wa kutafakari na kujenga hoja. No wonder watu wengi maisha yanakuwa magumu kweli si tu kiuchumi bali hata mahusiano ya kawaida. Mkeo au rafiki yako amekosea badala ya kuketi naye umuelezee ni wapi anakosea na ajirekebishe kwa maana anakudhuru, wewe unakalia kununa na kumvimbia kwa kiburi kana kwamba yeye anaweza kusoma akili yako akadadavua majibu bila wewe kusema lolote.
Hebu mjifunze kuwa watu wa kauli nzuri. Sio kuvuta vuta midomo na kutoa maneno ambayo ni dhahiri haujatumia hata sekunde kuyatafakari na ulichofanya ni kukopi na kupesti mawazo ya mtu mwingine. Hebu kuweni wakubwa basi.
The Guardian pia wanaweza kufungiwa kwa tuhuma za uchochezi hahaaaSoma Guardian la leo, utakuwa umejijibu kikamilifu.
Kwa kifupi hili si suala la mtu mmoja au kampuni moja.
Kwa mujibu wa taarifa ya Guardian , Benki Kuu-BOT, TRA na National Bureau Of Statistics-NBS wameanza kuanalyse data za mauz nje katika kipindi hiki ili kujua tatizo limetokea wapi.
Nahisi wewe utakuwa ni jesca wa chattle..utetezi wako huu sio bure 😕Ha ha haaaaa
Umejuaje una upuuzi kama wewe ndio hauko hivyo!!!
Huwezi waona hapa hao, au ukiwaona watakuambia Chadema wamesababisha mauzo yameshuka au watakuambia biashara ya nje imepungua kwa sababu hakuna dili tena
Vitisho, ubabe na unafiki.Bongo mna bidhaa gani mnazouza nje????????
Unatuhoji sisi au chanzo cha taarifa? Wewe si ulete takwimu zinazopinga hii taarifa? Mbona na wewe unalalamika sasa?Me naomba kuhoji jambo!
Kwa nyie ambao mnalalamika kuwa uchumi unakwenda kubaya na mapatao yanapungua nina maswali kwenu.
(1) Naomba kuwauliza je, mnaweza kutupatia takwimu sahihi juu ya hizo kampuni zinazoongelewa hapo juu ushiriki wake katika kulipa kodi kwa serikali?! Yaani mnipatie ushahidi kuwa hizi kampuni mwanzo zilikuwa zinalipa kodi na sasa magufuri ameingia ameziongezea kodi mara mbili zaidi, au amezikataza kupeleka bidhaa nje, au amezifilisi. Hebu nambieni mnachokijua ambacho mwanzo kilikuwapo sawa na sasa magufuri amekuja kuharibu na muongee kwa ufasaha bila lawama.
(2). Hebu naomba mnambie mlishawahi kufuatilia kipindi cha nyuma, kuwa hizi kampuni kiutendaji zilikuwa zinafanyaje kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi?!
(3). Naomba mnijuze ni kipi hasa mnachotaka kutoka serikalini inapokuja swala la kudai kodi, why hamjui kujenga hoja?! Kwann mnakuwa ni watu wa kulalamika na si wakuelezea kile kinachokosewa na kukitolea ushauri wa suluhu ya nini kifanyike. Kwann mnakuwa kama watoto vichanga kutwa kuliaaa tu na usiseme ni nini wataka haujui kuna watu wanakerekea ingawa na wao wanapitia magumu haya.
Kwakweli ifike wakati watz tuanze kuwa watu wa kutafakari na kujenga hoja. No wonder watu wengi maisha yanakuwa magumu kweli si tu kiuchumi bali hata mahusiano ya kawaida. Mkeo au rafiki yako amekosea badala ya kuketi naye umuelezee ni wapi anakosea na ajirekebishe kwa maana anakudhuru, wewe unakalia kununa na kumvimbia kwa kiburi kana kwamba yeye anaweza kusoma akili yako akadadavua majibu bila wewe kusema lolote.
Hebu mjifunze kuwa watu wa kauli nzuri. Sio kuvuta vuta midomo na kutoa maneno ambayo ni dhahiri haujatumia hata sekunde kuyatafakari na ulichofanya ni kukopi na kupesti mawazo ya mtu mwingine. Hebu kuweni wakubwa basi.
Wewe habari za uchumi unajua lolote mpaka useme seme hapaa . . ??!Ha ha haaaaa
Umejuaje una upuuzi kama wewe ndio hauko hivyo!!!
Uki accuse kwamba kampuni hazikulipa kodi na hicho ndicho chanzo cha muanguko huu, wewe ndiye unayetakiwa kuleta ushahidi.Me naomba kuhoji jambo!
Kwa nyie ambao mnalalamika kuwa uchumi unakwenda kubaya na mapatao yanapungua nina maswali kwenu.
(1) Naomba kuwauliza je, mnaweza kutupatia takwimu sahihi juu ya hizo kampuni zinazoongelewa hapo juu ushiriki wake katika kulipa kodi kwa serikali?! Yaani mnipatie ushahidi kuwa hizi kampuni mwanzo zilikuwa zinalipa kodi na sasa magufuri ameingia ameziongezea kodi mara mbili zaidi, au amezikataza kupeleka bidhaa nje, au amezifilisi. Hebu nambieni mnachokijua ambacho mwanzo kilikuwapo sawa na sasa magufuri amekuja kuharibu na muongee kwa ufasaha bila lawama.
(2). Hebu naomba mnambie mlishawahi kufuatilia kipindi cha nyuma, kuwa hizi kampuni kiutendaji zilikuwa zinafanyaje kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi?!
(3). Naomba mnijuze ni kipi hasa mnachotaka kutoka serikalini inapokuja swala la kudai kodi, why hamjui kujenga hoja?! Kwann mnakuwa ni watu wa kulalamika na si wakuelezea kile kinachokosewa na kukitolea ushauri wa suluhu ya nini kifanyike. Kwann mnakuwa kama watoto vichanga kutwa kuliaaa tu na usiseme ni nini wataka haujui kuna watu wanakerekea ingawa na wao wanapitia magumu haya.
Kwakweli ifike wakati watz tuanze kuwa watu wa kutafakari na kujenga hoja. No wonder watu wengi maisha yanakuwa magumu kweli si tu kiuchumi bali hata mahusiano ya kawaida. Mkeo au rafiki yako amekosea badala ya kuketi naye umuelezee ni wapi anakosea na ajirekebishe kwa maana anakudhuru, wewe unakalia kununa na kumvimbia kwa kiburi kana kwamba yeye anaweza kusoma akili yako akadadavua majibu bila wewe kusema lolote.
Hebu mjifunze kuwa watu wa kauli nzuri. Sio kuvuta vuta midomo na kutoa maneno ambayo ni dhahiri haujatumia hata sekunde kuyatafakari na ulichofanya ni kukopi na kupesti mawazo ya mtu mwingine. Hebu kuweni wakubwa basi.
kuongozwa na kichaa tabu tupu.
uchumi huoo shimoni.