stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 887
Haya ukimpelekea majibu mpe na kibubu akimanueeeeh mbowe kanituma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ukimpelekea majibu mpe na kibubu akimanueeeeh mbowe kanituma
Ndio nikasema, so as long as demand ipo, biashara itaendelea, mfano mimi, kutokana na uhitaji mkubwa wa internet katika shughuli zangu, hata uniuzie GB1 shs.10,000/= nitalipa tu, infact hata 100,000/= nitalipa , maana najua itarudi atleast mara 10 yake at any given day, so demand ikiwepo hata ufanyeje, tutalipa tu
jiulize tenaMbona wanauza 3000 kwa GB 1.2. Hiyo Tsh 1 anayoisema hairandani?
Mke wake ni wewe uliyemtaja mtaja na umesema laivu amekutuma sokoni ukampikie birianimapema yote hii ushachoka kua mke wake
Asitutishe huyo jamaa , kwanza hawa jamaa wa mitqndai wanatuibia sana wa africa, yaani haya mambo ya sim africa tunaibiwa sana na hawa jamaa , yaani ukifatilia garama za sim na data kwa africa na ulaya utakuta ulaya wao rate zao ziko nchini sana, mfano mdogo upo tz alafu piga sim kenya uone garama yake, alafu uko tz piga sim canada uone wao wanavyo jipendelea
We upo kama mm nilishawatema kitambo sana wana mambo ya hovyo sana saiz nipo halopesa ,wezi wa mitandaon wengi wanatumia no za voda ,watu wanaumizwa kila siku ila hakuna hatua yoyote ,kuvujisha Siri za wateja wanaongoza wao Sasa hili ni kampuni gani limejaa udwanzi.Toka wavujishe mawasiliano sijaweka tena mpesa. Wavune walichopanda
Israel Tsh 250 kwa GBnchi gan hio
Unaelewa tofauti ya megabyte's na gigerbytes?Mbona wanauza 3000 kwa GB 1.2. Hiyo Tsh 1 anayoisema hairandani?
Israel Tsh 250 kwa GB
India Tsh 200 kwa GB
Halafu isitoshe wenzetu sasa hivi wanawaza namna ya kusupply data bure dunia nzima (Elon Musk) sisi tunawaza kupandishiana bei za data
Zamani ukiweka 1Gb Kwenye simu inakaa siku 3 wakati mungine haiishi leo ukiweka 1Gb ndani ya masaa machache imeisha. Kuna tatizo Kwenye kuhesabu matumizi ya Mb