Mauzo ya katani yanauzwa kwa tani au kwa kilo?

Mauzo ya katani yanauzwa kwa tani au kwa kilo?

asante tupo pamoja

na kuna kitu nilitakankusahau kwenye changamoto za mkonge

upatikanji wa mashine za kuchakata mkonge na kifunga hasa kwa wakulim wadogo.
umeme wa uhakika au gharama za dizeli katika kusindika.
tija ndogo ya mkonge kutokana na kutofuata kanuni za kilimo,kodi mbalimbali z halmashauri na mamlaka zingine
Madame S, ahsante sana sikuwa na elimu kubwa sana kwenye sisal, nakushukuru.
Napenda kujua je hawa wakulima wadogo wako organised vipi....? katika ushirika, network or vipi....
 
Katani changamoto kwa mkulima mdogo ni uwezo wa kulihudumia kwa hiyo miaka mitatu maana shamba chafu lazima wadudu na magonjwa yawe mengi, kingine location ya mashamba kwa mkoa wa Tanga mashamba yaliko sio rahisi kupata vibarua kwanza watu wavivu pili mashamba ni mbali na jamii hivyo kama unauwezo unaajili vijana au kipindi ya palizi unahakikisha chakula unawapa na hela yao wanahamia shambani ndani ya wiki au mwezi shamba lote safi
 
Swali langu kwa madam S tafadhali unaweza fahamu bei ya mashamba kwa eka maeneo ambayo katani inaweza limwa, mimi ni wa Tanga ila kazi zangu Arusha hivyo nakosa nafasi ya kuja kutembea mashambani, niliplan kuchukua mashamba Ngomeni ila sasa yamepanda sana bei yaani ilikua laki moja kwa eka ila sasa hivi ni zaidi ya milioni 1 kwa eka, napenda sehemu ambako haivuki laki moja ili nipate eka nyingi zaidi. Ahsante sana
 
Katani changamoto kwa mkulima mdogo ni uwezo wa kulihudumia kwa hiyo miaka mitatu maana shamba chafu lazima wadudu na magonjwa yawe mengi, kingine location ya mashamba kwa mkoa wa Tanga mashamba yaliko sio rahisi kupata vibarua kwanza watu wavivu pili mashamba ni mbali na jamii hivyo kama unauwezo unaajili vijana au kipindi ya palizi unahakikisha chakula unawapa na hela yao wanahamia shambani ndani ya wiki au mwezi shamba lote safi
mkuu usikariri

huwezi kuanza jambo ikiwa hujajipanga ujue wala kujua outcome ya hicho unachotaka kufanya
 
Swali langu kwa madam S tafadhali unaweza fahamu bei ya mashamba kwa eka maeneo ambayo katani inaweza limwa, mimi ni wa Tanga ila kazi zangu Arusha hivyo nakosa nafasi ya kuja kutembea mashambani, niliplan kuchukua mashamba Ngomeni ila sasa yamepanda sana bei yaani ilikua laki moja kwa eka ila sasa hivi ni zaidi ya milioni 1 kwa eka, napenda sehemu ambako haivuki laki moja ili nipate eka nyingi zaidi. Ahsante sana
my dear

kwa sasa hivi sifaham labda nikuulizie then nikupe majibu
 
my dear

kwa sasa hivi sifaham labda nikuulizie then nikupe majibu
Nitashukuru sana
Pia kwa eka unavuna mara ngapi kwa mwaka na unaweza pata kiasi gani cha katani interms of mavuno na kiasi kama utamuuzia mchakata uzi?
Nimejaribu pm nahisi umefunga haiji so nitatumia huu uwanja kwa maswali. Ahsante sana
 
Madame S, ahsante sana sikuwa na elimu kubwa sana kwenye sisal, nakushukuru.
Napenda kujua je hawa wakulima wadogo wako organised vipi....? katika ushirika, network or vipi....

Wakulima wadogo wengi wao wako kwenye vyama vyao vya ushirika.Hata hivyo,wako ambao hawako organised.hao wanasimama mmojammoja.Bodi imekuwa ikiwahamasisha kujiunga kwenye ushirika au vyama ili kuwa na nguvu ya kutetea maslahi yao.
 
Nitashukuru sana
Pia kwa eka unavuna mara ngapi kwa mwaka na unaweza pata kiasi gani cha katani interms of mavuno na kiasi kama utamuuzia mchakata uzi?
Nimejaribu pm nahisi umefunga haiji so nitatumia huu uwanja kwa maswali. Ahsante sana
mkuu naombaniwe ninakujibu kila nipatapo muda na hata usijal kuhusu kuuliza maswali uliza tu kwa manufaa ya wengine

naomba baadae nikujibu kiufasaha zaidi, samahani kwa usumbufu
 
Wakulima wadogo wengi wao wako kwenye vyama vyao vya ushirika.Hata hivyo,wako ambao hawako organised.hao wanasimama mmojammoja.Bodi imekuwa ikiwahamasisha kujiunga kwenye ushirika au vyama ili kuwa na nguvu ya kutetea maslahi yao.
Madame S, niko interested nao sana hao waliokuwa ndani ya ushirika, vyama hivi vina changamoto nyingi sana, mimi na wenzangu tunajenga uwezo kwa organised farmers for free nakutumia experts kutoka NL, ila lazima wawe wengi at least wawe member kuanzia 1,000 lakini wakiwa hata robo yake ilihali wanajitambua kwa maana wana enterprenuer mind basi tunaweza kuwa tembelea hasa wakiwa mikoa hii ya morogoro na tanga....
 
Je, katani inahitaji mbolea?
yes, na mbolea inayotumika sio hizi tumezoea ni mbolea itokanayo na jani la mkonge baada ya kusindikwa kuchakatwa na kuanikwa

inakua hivi mkonge ukishafikia hatua za uvunwaji unautoa shamba kuja kuuleta kwenye korona yako then hua kunakua na mabaki mabaki ya hayo majani dizaini kama pamba hiv na hutokea pale ambapo mkonge huchakatwa nyuzi na kwa stage hii utahtaji maji mengi kupata singa safi na nzuri sasa bas mbolea inapatikana hapa wakat wa kuchana hayo majani kunakua na mabaki mabaki ambayo yanajitenga pembeni kwenye mashine yanayotokana na majani hayo hushauriwa kumwagwa shambani kurutubisha zaidi shamba lako na mimea yako iliyoko shamba mkuu
 
Madame S, niko interested nao sana hao waliokuwa ndani ya ushirika, vyama hivi vina changamoto nyingi sana, mimi na wenzangu tunajenga uwezo kwa organised farmers for free nakutumia experts kutoka NL, ila lazima wawe wengi at least wawe member kuanzia 1,000 lakini wakiwa hata robo yake ilihali wanajitambua kwa maana wana enterprenuer mind basi tunaweza kuwa tembelea hasa wakiwa mikoa hii ya morogoro na tanga....
nitakachokusaidia mkuu nikupatie contacts za wahusika then nyie wenyewe mtaorganise pamoja na kujua namna gani mtafanya business pamoja mkuu ikibidi hata mfike tsb muongee nao muweze kukutanishwa na hao wakulima pia
 
nitakachokusaidia mkuu nikupatie contacts za wahusika then nyie wenyewe mtaorganise pamoja na kujua namna gani mtafanya business pamoja mkuu ikibidi hata mfike tsb muongee nao muweze kukutanishwa na hao wakulima pia
ahsante, nitashukuru ukinipa contacts za wahusika, nitafanya pia kuwaona tsb....
 
Nitashukuru sana
Pia kwa eka unavuna mara ngapi kwa mwaka na unaweza pata kiasi gani cha katani interms of mavuno na kiasi kama utamuuzia mchakata uzi?
Nimejaribu pm nahisi umefunga haiji so nitatumia huu uwanja kwa maswali. Ahsante sana

kwa eka unaweza ukapata kg 300 mwanzo but inaongezeka kadiri muda unavyoenda
Unavuna Mara 2 nakupata 600
 
asante tupo pamoja

na kuna kitu nilitakankusahau kwenye changamoto za mkonge

upatikanji wa mashine za kuchakata mkonge na kifunga hasa kwa wakulim wadogo.
umeme wa uhakika au gharama za dizeli katika kusindika.
tija ndogo ya mkonge kutokana na kutofuata kanuni za kilimo,kodi mbalimbali z halmashauri na mamlaka zingine
Vipi kuhusu upatikanaji wa machine za kuchakata kupata SISAL FIBRE for export, mpaka uwe na zako au unaweza tumia za wengine ?

Madame S Madame S madame s Madame S
 
Back
Top Bottom