Kyindikibisi
Member
- Apr 7, 2018
- 72
- 36
ila daily mizigo yake bandari ya tanga inapigwa stop order labda wawe wamejirekebisha this time
(namsemea mo dewji)
mashamba yapo mengi sana kuna amboni plantation na amboni spinning mills, kuna sagera estates, mohammed enterprises, katani ltd, d.d. ruhinda & compnqy ltd, amboni ndo wapo pangani huko mwera sakura hayo n baadhi mkuu na n zao zuri linastahmili ukame hakihitaji kupandwa sehem yenye kutuama maji kama vile mpunga au sehem inayotiririsha maji , baada ya miaka yako mitatu had mitatu na nusu unavuna kama atahitaj anicheki nimuunganishe na tanzania sisal board wampe somo kabisa
Mi ningependa kujifunza zaidi naomba iyo connection