Mauzo ya katani yanauzwa kwa tani au kwa kilo?

Mauzo ya katani yanauzwa kwa tani au kwa kilo?

ila daily mizigo yake bandari ya tanga inapigwa stop order labda wawe wamejirekebisha this time
(namsemea mo dewji)

mashamba yapo mengi sana kuna amboni plantation na amboni spinning mills, kuna sagera estates, mohammed enterprises, katani ltd, d.d. ruhinda & compnqy ltd, amboni ndo wapo pangani huko mwera sakura hayo n baadhi mkuu na n zao zuri linastahmili ukame hakihitaji kupandwa sehem yenye kutuama maji kama vile mpunga au sehem inayotiririsha maji , baada ya miaka yako mitatu had mitatu na nusu unavuna kama atahitaj anicheki nimuunganishe na tanzania sisal board wampe somo kabisa

Mi ningependa kujifunza zaidi naomba iyo connection
 
Swali langu kwa madam S tafadhali unaweza fahamu bei ya mashamba kwa eka maeneo ambayo katani inaweza limwa, mimi ni wa Tanga ila kazi zangu Arusha hivyo nakosa nafasi ya kuja kutembea mashambani, niliplan kuchukua mashamba Ngomeni ila sasa yamepanda sana bei yaani ilikua laki moja kwa eka ila sasa hivi ni zaidi ya milioni 1 kwa eka, napenda sehemu ambako haivuki laki moja ili nipate eka nyingi zaidi. Ahsante sana

Aisee hata mimi natafuta sana mashamba ya iyo bei
 
Hao wakulima Wadogo watatakiwa kuwa na TIN
Wawe wanatunza kumbukumbu zao vizuri !
Wawe na EFD machines
Kodi nazani itategemea na kiwango cha mauzo Yao Kwa mwaka!
Wawe na tax invoice books n.k
Failure to that wateja wengine watakuwa wanawakimbia maana nao watatakiwa ku account for Kwenye other places !
 
Uzi murua kabisaa!! Mm nilihamasishwa na jamaa zangu wa shinyanga wao walihamasishwa na watu wa oxfarm, kilimo hiki kimeinua wengi. Kwa sasa nimeshaandaa kitalu cha kutosha eka 20 nasubiri mwezi wa saba nihamishie shambani. Kama na wewe ni mkulima mdogo tuungane, mm niko morogoro
 
Uzi murua kabisaa!! Mm nilihamasishwa na jamaa zangu wa shinyanga wao walihamasishwa na watu wa oxfarm, kilimo hiki kimeinua wengi. Kwa sasa nimeshaandaa kitalu cha kutosha eka 20 nasubiri mwezi wa saba nihamishie shambani. Kama na wewe ni mkulima mdogo tuungane, mm niko morogoro

Unatarajia kuuza wapi baada ya kuvuna?
 
Uzi murua kabisaa!! Mm nilihamasishwa na jamaa zangu wa shinyanga wao walihamasishwa na watu wa oxfarm, kilimo hiki kimeinua wengi. Kwa sasa nimeshaandaa kitalu cha kutosha eka 20 nasubiri mwezi wa saba nihamishie shambani. Kama na wewe ni mkulima mdogo tuungane, mm niko morogoro
Mkuu naomba niPM namba yako. Nahitaji kuzungumza nawe. Nina ekari 10 Korogwe nataka nianze hii kitu
 
Mkuu naomba niPM namba yako. Nahitaji kuzungumza nawe. Nina ekari 10 Korogwe nataka nianze hii kitu
Poapoaaa!! Lima mkuu, ni pensheni ya nguvu hiki kilimo!! Masoko yapo mengi tuu, sisal board wanakuunganisha hapa nchini au hata nje ukauza direct kwa dola!! Karibu tuwe wengi.
 
Poapoaaa!! Lima mkuu, ni pensheni ya nguvu hiki kilimo!! Masoko yapo mengi tuu, sisal board wanakuunganisha hapa nchini au hata nje ukauza direct kwa dola!! Karibu tuwe wengi.
Hukunipm mkuu
 
Hivi wadau kwa maeneo ya Kisarawe kilimo hiki kinafaa?
 
Remmy Nkwera naomba nikusaidie kidogo palipobakia mwengine atajazia

inauzwa kwa tani. Inafungwa katika marobota ya kilo 100 au 200 au 250. kwa sasa inauzwa kw sh 2,600,000/= hadi millon 3. kwa sasa upatikanaji si mkubwa sana, unahitaji kusubiri wakukusanyie. kuna wakulima wadogo unawez kupata tani moja hadi tani 5. wakulima wakubwa wanaweza kukupaTani zaidi kulingana na mahitaji na bei yako.
wakulima wakubwa unapata Pangani, Mkinga, Korogwe, Hata hapa Tanga Mjini
Hello madame naweza pata email yako?
 
Mm nahitaji mashamba tafathal yasizid pia lak1 na mjumuisho wa gharama za kupanda tafathal
 
Swali langu kwa madam S tafadhali unaweza fahamu bei ya mashamba kwa eka maeneo ambayo katani inaweza limwa, mimi ni wa Tanga ila kazi zangu Arusha hivyo nakosa nafasi ya kuja kutembea mashambani, niliplan kuchukua mashamba Ngomeni ila sasa yamepanda sana bei yaani ilikua laki moja kwa eka ila sasa hivi ni zaidi ya milioni 1 kwa eka, napenda sehemu ambako haivuki laki moja ili nipate eka nyingi zaidi. Ahsante sana
Ungejibu hili swali hili na sisi wengne tujue
 
Uzi murua kabisaa!! Mm nilihamasishwa na jamaa zangu wa shinyanga wao walihamasishwa na watu wa oxfarm, kilimo hiki kimeinua wengi. Kwa sasa nimeshaandaa kitalu cha kutosha eka 20 nasubiri mwezi wa saba nihamishie shambani. Kama na wewe ni mkulima mdogo tuungane, mm niko morogoro
Ulipata w kuungana nae...? Kama bado mimi npo
 
Back
Top Bottom