Ukisajiliwa na bod faida ni unapata leseni huotolei shilingi yoyote,leseni hio itakuwezesha kutambulika na wadau mbali mbali wa mkongeNaomba kujua ukianza kulima ekari zako tatu bila kusajiliwa na bodi tatizo lake ni nini?
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Habari dear njribu kukuPM lkni inagoma nhtji kukuuliza swali muhimu...nashkuruUkisajiliwa na bod faida ni unapata leseni huotolei shilingi yoyote,leseni hio itakuwezesha kutambulika na wadau mbali mbali wa mkonge
Uzi murua kabisaa!! Mm nilihamasishwa na jamaa zangu wa shinyanga wao walihamasishwa na watu wa oxfarm, kilimo hiki kimeinua wengi. Kwa sasa nimeshaandaa kitalu cha kutosha eka 20 nasubiri mwezi wa saba nihamishie shambani. Kama na wewe ni mkulima mdogo tuungane, mm niko morogoro
Bei ya leo Morogoro ni sh 1900 bei ya juu. Bei ya chini hadi 1400 kwa kilo. Kutegemeana na ubora wa singa.Hivi kilo ya katani kwa Sasa Ni Bei gani
Hiyo bei lina mkonge tayari au?Anae hitaji shamba la heka tatu maeneo ya
Tanga(kibaranga)Anitafute kwa namba 0712154330.Kibaramga ni eneo lililoko Mkanyageni kuingia kulia ndani huko kama kilometer 3.5.Bei ni milioni 2.5.Haipungui.
Madam bado upo kwenye mkongeUkisajiliwa na bod faida ni unapata leseni huotolei shilingi yoyote,leseni hio itakuwezesha kutambulika na wadau mbali mbali wa mkonge