Mauzo ya Kondomu yamepungua sana

Mauzo ya Kondomu yamepungua sana

👾👽👻💀👺😳😬😩😨😧😦😰
 
Watu wamegundua hata ukimwi haupo ni chenga tu za mabeberu kama corona, kwa hiyo hamna haja ya kuvaa hayo mabarakoa ya huko chini 🤣🤸🐒
Watu Tunaloweka Tu Tunapata Raha Duniani
Mambo Ya Kuvaa Mfuko Ni Kujichelewesha
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😀😁😆😆😅😄😃😂😂😁😁😁
 
150 kwa week, upo machimboni maana hii takwimu ina makando kando ya matango poli.
 
Mzungu katengeneza ARV wanaokunywa wanakua pisi kali tako kama lote weupee pee sasa kuna ile formula ya kutafta X shida ipo hapo kuna neno la kishujaa linakuja kwan ntakua wa kwanza mimi kufa?

Analoweka bila mpira infact ukimwi tunaishi nao mtaani kama mafua tuu kuna muda hata hii covid mama Samia akiamua kujenga confidence covid tunaishi nayo tuu
 
Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwilo mfululizo. Kwa wastani nilikua nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID 19?
Na bora iendelee covid-19 ili zinaa ikwishe kabisa
 
Hizi chanjo za UVIKO-19 Zinapunguza nguvu za kiume mkuu.
 
Ambao hamuamini corona ipo poleni, haijampata mmoja wenu kwenye familia ndio maana mmekua na jeuri ya kuongea.
Sijawahi hata kuskia kwa jirani kuwa kuna mtu anaumwa aisee yan hata kuskia sio kuona niskie tuu na watu wanapumuliana bila kuvaa chochote umeishi nayo toka 2019 tungeskia vifo watu wanakufa kama njugu kama WHO ilivyotabiri hii biashara kama biashara zingine mzungu alitengeneza UKIMWI FEKI NA MALARIA mchina katengeneza COVID mnapewa msaada wa dose 28% na 72%.mnanunua ndomana kila mtu anachanjo yale hujiulizi? Mbona chanjo ya pepo punda na polio na small pox ilikua moja? Africa amka kifikra
 
Sijawahi hata kuskia kwa jirani kuwa kuna mtu anaumwa aisee yan hata kuskia sio kuona niskie tuu na watu wanapumuliana bila kuvaa chochote umeishi nayo toka 2019 tungeskia vifo watu wanakufa kama njugu kama WHO ilivyotabiri hii biashara kama biashara zingine mzungu alitengeneza UKIMWI FEKI NA MALARIA mchina katengeneza COVID mnapewa msaada wa dose 28% na 72%.mnanunua ndomana kila mtu anachanjo yale hujiulizi? Mbona chanjo ya pepo punda na polio na small pox ilikua moja? Africa amka kifikra

Haya maneno ya waswahili hayana maana yoyote. Kama hujasikia kwa jirani yako basi sio kwa waTanzania wote! Ulitembea nchi nzima ukajiridhisha kwamba hakuna wagonjwa wala waliopoteza maisha!!! Linchi lako halitoi takwimu, so utajuaje corona ipo!!!! Wengine turishaondokewa na wengi tu but tumekausha.

Corona ipo, inauwa fasta kuliko gonjwa lolote.
 
Haya maneno ya waswahili hayana maana yoyote. Kama hujasikia kwa jirani yako basi sio kwa waTanzania wote! Ulitembea nchi nzima ukajiridhisha kwamba hakuna wagonjwa wala waliopoteza maisha!!! Linchi lako halitoi takwimu, so utajuaje corona ipo!!!! Wengine turishaondokewa na wengi tu but tumekausha.


Corona ipo, inauwa fasta kuliko gonjwa lolote.
Watz tunajidai tunajidai tunajua kila kitu
 
Back
Top Bottom