Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Vaeeeeni condom mamayo zenu, ngoma ipo mpaka kwenye nyumba za yesu na mitume wenu haiondoki kwa maombi mbwanyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi hili nimeliona hilo, manake kwenye pharmacy yangu tangia mwaka jana nilete mzigo wa condom, hata paketi moja haijanunuliwa tafauti na zamani zilikuwa za kugombaniwa hii naona ni ishara tosha kuwa ukimwi umetokomea.Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwilo mfululizo. Kwa wastani nilikua nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID 19?
Covid unaweza kuipata hata kwa mwanandoa wakoNa bora iendelee covid-19 ili zinaa ikwishe kabisa
Kama bao 7 hivi mpaka mchana huu budaaUshagapiga ?
Kama utakuwa unahitaji mtu wa kukusaidia nipoKama bao 7 hivi mpaka mchana huu budaa
Kasema 150 kwasiku sio kwa wik au sio mleta mada150 kwa week, upo machimboni maana hii takwimu ina makando kando ya matango poli.
Kama umeacha pombe njooKama utakuwa unahitaji mtu wa kukusaidia nipo
1. Nguvu za kiume zimepungua.Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwilo mfululizo. Kwa wastani nilikua nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID-19?
Don't try this at home.Hakuna familia haijafiwa na ukimwiWatu wamegundua hata ukimwi haupo ni chenga tu za mabeberu kama corona, kwa hiyo hamna haja ya kuvaa hayo mabarakoa ya huko chini 🤣🤸🐒
Balaa.hahahah..tihtihtihtihPunyeto haina haja ya condoms mkuu,
Mwambie aliyezuia takwimu akupe sababu then tuje kujadili hapaHaya maneno ya waswahili hayana maana yoyote. Kama hujasikia kwa jirani yako basi sio kwa waTanzania wote! Ulitembea nchi nzima ukajiridhisha kwamba hakuna wagonjwa wala waliopoteza maisha!!! Linchi lako halitoi takwimu, so utajuaje corona ipo!!!! Wengine turishaondokewa na wengi tu but tumekausha.
Corona ipo, inauwa fasta kuliko gonjwa lolote.
Mkuu kwa mwamposa kila siku shuhuda watu wanapona ukimwi upo nchi gan tukufungulie arise and shine tv na radio?Vaeeeeni condom mamayo zenu,ngoma ipo mpaka kwenye nyumba za yesu na mitume wenu haiondoki kwa maombi mbwanyie.
Mabeberu eehVijana wanakwambia ni mwendo wa bucha, wakivaa mpira mabeberu wanachelewa kutoka[emoji16][emoji16]
Acha kupotosha ukoo wetu hakuna aliyeugua wala kuishi na wanakufa na miaka 100+ ni laana ya familia zenu ndo zinapataDon't try this at home.Hakuna familia haijafiwa na ukimwi
Lini nilikuwa nakunywa?Kama umeacha pombe njoo
Tueleweshe wengine ni wageni mjiniKatika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwilo mfululizo. Kwa wastani nilikua nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID-19?