40M kodi ya eneo la biashara monthly tena kigoma, bila shaka haukuwa unazungumzia frame.Ni sawa but kwa hesabu za kufunga na runnin cost za 9Mil lazim tujaji iyo 600k kos ni kiwango cha kati kweny biashara but tunajua kuna wanaolipa hadi Mil40+ kukod sehem tu za biashara monthly tena ata sio kariakoo ni kigoma uko.
Ndio na namaanisha wawekezaj wa biashara kubwa wapo ila hapa tunamzungumzia invester wa kiwango cha kati ndo maana nikashangaa iyo kodi ya 600k angetoboa vipi.40M kodi ya eneo la biashara monthly tena kigoma, bila shaka haukuwa unazungumzia frame.
Mimi sijui hata nikushauri nini kwenye hili andiko lako. Kwa kifupi hili andiko umeandika as if biashara yako imekuwa fixed sana.A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000
B. matumizi -
- TRA (kwa mwaka) 300,000
- leseni (kwa mwaka) 120,000
- frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
- Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
- Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
- chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
- vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
- gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua
- Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi
FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE
Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.
pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu
Duh! Kweli kila mtu na anavyotafsiri mambo, wakati sisi tunachukulia hili kama somo wewe unaona ni dongo.Mi nadhani lengo la Uzi ni kudiscourage biashara na kutetea ajira kuwa ni Bora kuliko biashara,si Kila mtu lazima afanye biashara wengine nyota yenu ni kuajiriwa
Ufumbuzi ni hiyo frem na location yake, akiikimbia hiyo location means anawakimbia wateja na gharama za pango la frem lakini gharama nyingingine za kodi, vibali nk zitabaki palepaleFrame inakukaba,
Ukishajua wapi pesa zinavuja tafuta ufumbuzi sio kukimbia.
Nini cha kufanya.
Unatakiwa uangalie ni kwa namna gani unaweza kukuza mauzo, hapo ndio kazi kubwa ipo.
Kingine unapoanzisha biashara kama haijasimama mpaka kufikia kwenye peak, jitahidi kutotumia pesa unazoita faida kwa kipindi fulani ili biashara iendelee kukua na kujikuza zaidi.
Hii sio elfu 14 ni Shilling 14 bila sent hapo kuna nukta sio mkato14.000
Sasa frame ya Kariakoo mwanangu ukaweke mtaji wa kuungaunga? Hapo lazima faida iwe kubwa siyo tena hiyo laki 8!Hivi mnajua frame ya Kariakoo bei yake mara mbili au tatu ya hio Faida yake.
Hapo ndo utagundua umuhumu wa kuwa bahili na mbunifuA. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000
B. matumizi -
- TRA (kwa mwaka) 300,000
- leseni (kwa mwaka) 120,000
- frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
- Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
- Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
- chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
- vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
- gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua
- Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi
FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE
Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.
pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu
Nyoooooo!!!! mtoa mada asijichabganye kufata hiiMkuu me naona changamoto kubwa hapo iko kwa binti, coz yeye umemuajiri, anafanya kazi kama muajiriwa, Biashara yoyote inahitaji commitment ya hali ya juu.... Watu wengi wanaofanya kazi wakianzisha biashara zinakufa,
Sababu kuu ni usimamizi mbovu, unaweza ukamuweka kijana dukani akawa haibi kabisa, ila changamoto ikawa ni namna anavofanya kazi
Hizi biashara ukiweka mabinti wengi wao wanaenda kuchat tuu na kusubiri wateja waje, hana wasiwasi hata, wala hana ubunifu wowote ule ili kuongeza mauzo,
Ukitaka kufanya biashara ingia frontline mwenyewe. Achana na Ajira yako uingie mazima hapo ndo utaweza kuona faida ya biashara
Kodi unakadiriwa au unajikadiria? Unatunza hesabu? Au unawaachia tra wakukadirie?A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000
B. matumizi -
- TRA (kwa mwaka) 300,000
- leseni (kwa mwaka) 120,000
- frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
- Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
- Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
- chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
- vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
- gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua
- Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi
FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE
Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.
pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu