Mkuu me naona changamoto kubwa hapo iko kwa binti, coz yeye umemuajiri, anafanya kazi kama muajiriwa, Biashara yoyote inahitaji commitment ya hali ya juu.... Watu wengi wanaofanya kazi wakianzisha biashara zinakufa,
Sababu kuu ni usimamizi mbovu, unaweza ukamuweka kijana dukani akawa haibi kabisa, ila changamoto ikawa ni namna anavofanya kazi
Hizi biashara ukiweka mabinti wengi wao wanaenda kuchat tuu na kusubiri wateja waje, hana wasiwasi hata, wala hana ubunifu wowote ule ili kuongeza mauzo,
Ukitaka kufanya biashara ingia frontline mwenyewe. Achana na Ajira yako uingie mazima hapo ndo utaweza kuona faida ya biashara