utakuwa hujanisoma vizuri bab!mimi naongea vitu vya kweli na kamwe simpambi mtu hata akifeli
Hata Hemedy huwa humpambi?
huyo mnyamwezi achana nae!hafeligi...
Mbona sioni huyo Hemedy anapofaulu?Mziki umemshinda,muvi anajikongoja japo anapata hela ya kula tu.Au kujiremba + swaga za kishoga ndo kufaulu?
hahahaha! eti "tuli',,,na wewe unapangilia na diamond mipango yake..wewe si ulisema hapa haitokaa itokee penny na domo kuachana coz soon wataoana?? ukaingia hadi chumbani kuwapiga picha, we lazma utakuwa tikitiki maji c bure
Usijari,tulia kama unanyolewa..leo ndiyo nimemaliza kudesign logo ..zitumwe na mzigo uprintiweProf Jay kuna kipindi alitupigia kelele nimefungua saloon ( zaidi ya miaka 15 kwenye industry) anakuja na story ya saloon
Ommy Dimpoz naye sijui t-shirts na kofia
Huyu naye huko huko
Bora niendelee kumuelewa Jay Dee,akitoa t-shirts ujue ni vuguvugu la muda la tukio fulani na sio mradi wa kuukalia chini kama hawa pimbi wengine
Poa usiache kunambia mapema zisije kuisha....mi mwenyewe team wasafi.
umejuaje wamba jamaa ana hisa? arent you guessing dude?katika hiyo project chief kiumbe ana hisa asilimia ngapi?
utakuwa hujanisoma vizuri bab!mimi naongea vitu vya kweli na kamwe simpambi mtu hata akifeli
Humuogopi shemeji yetu kukuona umemvaa mwanaume mwenzie aku!mie raisi w@teamsexy
Usijali,logo nimemalizia kudesign leo..so soon Evelyn Salt
ila zitakazotoka sasa ni tshirt za kiume..kwa baadae ataanza kutoa na za kike,uzuri wadada hata mkitupia za kiume mnatoklezea tu,haswa ukiwa mrembo.
Ok moja ya kaz yangu pale ni graphics designer,ingia kwenye plofile yangu ya
insta ( @ kifesi)utaziona info na kaz zote ninazozifanya na
Nimesema tuli coz me ndiye nadesign artworks zake ,na ndiye ninadesign na
hizo logo za tshirt..tumeshirikiana pamoja kimawazo ni vip artwork iwe ,so nimekosea nin kusema kwa umoja?
By heaven on desertNiko karibu na hawa watu.najuwa wanaishije,hata kama Diamond atakuwa anakulana kwa siri na Wema ni kwa tamaa tu kama wanaume wengine walivyo na tamaa
still Penny ndiye chaguo la kwanza,peny ahe is real,ni mwanamke wa kweli kabisa ni aina ya mwanmke kila mwanamme anaetaka ndoa bora lazima atakuwa chaguo lake ,Wema ni mchafu wa tabia to the maximum,Diamond hawez mwacha Penny for Wema.
Cjui kama umenielewa dada Heaven
Usijali,logo nimemalizia kudesign leo..so soon Evelyn Salt
ila zitakazotoka sasa ni tshirt za kiume..kwa baadae ataanza kutoa na za kike,uzuri wadada hata mkitupia za kiume mnatoklezea tu,haswa ukiwa mrembo.
Kwa nnavompenda diamond hata ya kiume ntavaa tu
Unamzidi Wema anamvyopenda diamond??????
Ha ha ha wema hanifikii
Ok moja ya kaz yangu pale ni graphics designer,ingia kwenye plofile yangu ya
insta ( @ kifesi)utaziona info na kaz zote ninazozifanya na
Nimesema tuli coz me ndiye nadesign artworks zake ,na ndiye ninadesign na
hizo logo za tshirt..tumeshirikiana pamoja kimawazo ni vip artwork iwe ,so nimekosea nin kusema kwa umoja?