agristeph
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 214
- 184
Prof Jay kuna kipindi alitupigia kelele nimefungua saloon ( zaidi ya miaka 15 kwenye industry) anakuja na story ya saloon
Ommy Dimpoz naye sijui t-shirts na kofia
Huyu naye huko huko
Bora niendelee kumuelewa Jay Dee,akitoa t-shirts ujue ni vuguvugu la muda la tukio fulani na sio mradi wa kuukalia chini kama hawa pimbi wengine
Ommy Dimpoz naye sijui t-shirts na kofia
Huyu naye huko huko
Bora niendelee kumuelewa Jay Dee,akitoa t-shirts ujue ni vuguvugu la muda la tukio fulani na sio mradi wa kuukalia chini kama hawa pimbi wengine
