Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Mbona sioni huyo Hemedy anapofaulu?Mziki umemshinda,muvi anajikongoja japo anapata hela ya kula tu.Au kujiremba + swaga za kishoga ndo kufaulu?
mainstream zisikudanganye...au unataka naye apaishwe kama marehemu kanumba ana magari tisa sijui nyumba nne!ikaja kugundulika si kweli alikuwa amepanga tu!!!!PHD anaishi maisha yake yasiyo na stress wala yaliyojaa uongo uongo wa media

