Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Mbona sioni huyo Hemedy anapofaulu?Mziki umemshinda,muvi anajikongoja japo anapata hela ya kula tu.Au kujiremba + swaga za kishoga ndo kufaulu?
Ni project aliyoipanga siku nyingi kuandaa tshirts na kofia maalumu kwa mashabiki zake. Ilikuwa zitoke mwishoni mwa mwaka 2013 lakini Diamond ni mtu asiyependa kuharakisha mambo, na anapenda afanye kitu chenye ubora unaotakiwa yupo radhi project yake, iwe wimbo ama chochote kichukue hata miezi ilimradi mwisho wa siku ipatikane product nzuri.
Kipindi ameenda china alitoa oder but logo waliprint tofauti na tulivyokuwa tumepangilia, hakuzipenda, alizikataa na kukubali hasara ya million kadhaa
na sasa anaandaa upya.
Soon zitakuwa mtaani.
Ungeweka na bei kabisa watu wajue
Sasa atawekaje bei wakati mzigo bado upo kiwandani we subiri ukiambiwa kilo sasa hivi utaanza kuziponda we tulia bei utakutana nayo dukani.Ungeweka na bei kabisa watu wajue
View attachment 138354
Awali niliwataalifu kuhusu Diamond kuja na mavazi
yake,tshirts na kofia vikiwa na nembo ya wasafi classic.
Hatua ya utengenezaji
wa logo ishakamilika (logo zimedizainiwa na kifesi aka H.O.D)
na mzigo utakuwa out ndani ya hizi siku mbili..
FANS WOTE WA DIAMOND NA WASAFI CLASSIC
MKAE TAYARI KWA CLOTHING LINE YA UKWELI
Ahsanteni.
Mkuu,hivi mwanaume rijali na timamu unajiitaje kifesi na kujipromoti??!! Kuna kina Kidoti,kidawa,kitumbua,Kichuchu etc tunaelewa kujiita hivyo kwani wanawake,wewe je??!! Au una udugu na kina Mpole sana na Boflo?? Grow up mazafanta!!
Kwenye post yako,rekebisha heading!!
aya bob,,,,,,,unaikumbuka hii comment yako lakini?????
Mbona ulisema ni wachina?
Tunasubiri naona logo ipo bomba
aya bob,,,,,,,unaikumbuka hii comment yako lakini?????
Kifesiiii we ni mkaliiii...yaniii we are waitinggg sanaaaa
Hayo maandishi tu ndio yamewekwa na wachina na ulivyosifiaa mi akili yangu ilifikiria mbali kweli,haya nisiseme sana hongeraa