Mavazi na kofia zenye nembo ya Diamond

Mavazi na kofia zenye nembo ya Diamond

Watu wa kukatisha watu tamaa kwa juhud wanazofanya huwa mpo katika jamii yoyote
mapaka hapo ulipo watazania umewatengenezea nn Cha maana ?
ama ulitaka hayo maandish yawe wanawaka taa

Wewe umewafanyia nini watanzania kuwapiga picha au?asa hizo nguo mbona za kawaida kuliko ulivyokua unasifiaa mhuu kwa mishebeduo tu kama dadaduu!
 
Siwezi kuvaa nguo Yenye neno baby hata siku moja,mtazivaa nyie wavaa supra na visuruali vimodo vya rangi rangi..

Ucjali ndio maana nikasema zipo dizain nying tofauti
siyo maandish hayo tu.(kuna WCB,KUNA WASAFI CLASSIC,KUNA WCB FOR LIFE ETC) .ni chaguo lako tu
labda unalo lingine la kusema
 
Ucjali ndio maana nikasema zipo dizain nying tofauti
siyo maandish hayo tu.(kuna WCB,KUNA WASAFI CLASSIC,KUNA WCB FOR LIFE ETC) .ni chaguo lako tu
labda unalo lingine la kusema

Hapo sawa maana hilo neno Baby hata mimi nilishaanza kuona tabu pia , hope tutamuunga mkono
 
Watu wa kukatisha watu tamaa kwa juhud wanazofanya huwa mpo katika jamii yoyote
mapaka hapo ulipo watazania umewatengenezea nn Cha maana ?
ama ulitaka hayo maandish yawe wanawaka taa

Tuliza boli, kuwa kibiashara zaidi!
 
Kwa hiyo Ruge anapata 60% zake maana wanasema ndio ana own kila rights za Diamond
 
Back
Top Bottom