Sawa ndugu nimekupataWanapata lishe ya uhakika,mafunzo maalumu na tiba sahihi katika kuendeleza hiyo kada,pamoja na maelekezo ya kuongea pale jukwaani;kuhusu mavazi hata magari zipo kampuni zinatengeneza kufuatana na uhitaji wao.
Duuu Hawa ni wa kitambo ila ndo walikuwa wanaume kweli asee kwenye huu mchezo. Booker T,DDP. NWO. Kipindi hicho lex luger ndo mwamba kwelikweliWCW Monday Nitro akina Randy Savage aka Macho Man, Hulk Hogan, big sexy Kevin Nash, Scot Hall, Konan, kulikuwa na Lex Luger, Rick Flair, the Giant baadae Big Show, Kevin Green, Rowdy Piper, Jeff Jaret, Steve Mango MacMichael na Queen Debra, hahaha Yokozuna Steiner brothers hawa walikuwa na vigimbi mikononi, na Sting! Iron Sheikh, na Earth quake hahahaha hoi ilikuwa burudani tosha
Mhuu cjawahi sikia ushuhuda huo. Mimi huwa naamini ni maigizo kama movie za Hollywood tu. Ila wamebobea ktk kuigiza aseeHalafu sijui kama ule mchezo ni ukweli. Hivi kuna mtanzania alishawahi kwenda kuona huo mpambano live kweli???
hahaha tuziiteje sasa mkuuUmenchekesha ulivyosema nyeramumu
Na mm nampa nafasi ya kushinda huyu Jamaa The Undertaker.Nahisi atapigwa manake legends wengi wa WWE wanampa nafasi kubwa yeye
Me Nadhani ni mchezo wa ukweli. Siku Nikipata nafasi ya kwenda marekani, Lazima nikaingie ukumbini kushuhudia huu mchezo.Halafu sijui kama ule mchezo ni ukweli. Hivi kuna mtanzania alishawahi kwenda kuona huo mpambano live kweli???
Ulishaona igizo la kuvunjika mgongo, mbavu etc na hata kufa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu Yale ni maigizo tu shenzi zao
Salamu wadau!
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia mchezo Wa mieleka (WWE) nimeona asilimia kubwa ya mavazi na maviatu yao yanafanana na yana maurembo urembo yanayotaka kufanana. Hivi kabla ya kuvaa vile vichupi vyao kuna kitu/vitu huwa wanatanguliza ndani? Manake wote huwa vimewakaa sawa sawa havitetereki wala kuchanika pamoja na mikiki mikiki ile. Je kuna kampuni maalumu zinazotengeneza Yale mabuti na vile vinguo vyao? Na kwa nini wacheza mieleka wengi wana masauti makubwa makubwa na mapana kuna!? Kuna namna ya kutengeneza masauti membamba kuwa mapana!? Manake unakuta wacheza mieleka uliowaona zamani na sauti za kawaida ukija kuwaona tena baada ya muda mrefu wamebadilika miili na masauti. Au miili inaendana na masauti?
Me Nadhani ni mchezo wa ukweli. Siku Nikipata nafasi ya kwenda marekani, Lazima nikaingie ukumbini kushuhudia huu mchezo.
hivi kumbe bado yupo mzigoni?Huyu mwamba atapambana na Triple H tarehe 6/10. Bonge la pambano.
Naamini upo kwenye kundi la Wahenga mkuuWCW Monday Nitro akina Randy Savage aka Macho Man, Hulk Hogan, big sexy Kevin Nash, Scot Hall, Konan, kulikuwa na Lex Luger, Rick Flair, the Giant baadae Big Show, Kevin Green, Rowdy Piper, Jeff Jaret, Steve Mango MacMichael na Queen Debra, hahaha Yokozuna Steiner brothers hawa walikuwa na vigimbi mikononi, na Sting! Iron Sheikh, na Earth quake hahahaha hoi ilikuwa burudani tosha
Kupigana mabuti usoni,kuvunjana shingo,kurushana toka juu ya nguzo ndefu kama ya umeme halafu na bado huyo aliye pigwa na kurushwa ndo anashinda!!Me Nadhani ni mchezo wa ukweli. Siku Nikipata nafasi ya kwenda marekani, Lazima nikaingie ukumbini kushuhudia huu mchezo.