Mavazi ya kanisani balaaa...

Status
Not open for further replies.
SASA WEWE UNANIULIZA MIMI WAKATI HII HADITHI HAINIUSU MIMI! INAWAUSU WAISLAM!
LABDA WEWE NDIO UTUAMBIE WAKATI WA KUNYA SHETANI UWA ANAKUFANYAJE?
HAKO KAMCHEZO SHETANI ANAWAFANYIA WAISLAM KWA MUJIBU WA HADIDHI ZA MTUME WA WAISLAM

kwahio ww unataka kutuambia hujambi?? Na wakati wa ku.nya inakuaje?........inakua amechezea nn pale??

Usibadili maudhui ..usilolijua usiku wa kiza tena kineneeeeeeeee....
HAPA MTUME WA SHETANI MUHAMMAD HAONGELEI HABARI YA KUNYA, NA HAZUNGUMZII HABARI YA MAVI KUCHEZEA
MA.TA.KO!
ANAONGELEA HABARI YA SHETANI KUPULIZA -MA-TA-KO- YA WAISLAMU
WAKATI WA SALA (KUYACHEZEA)

waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali. Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)


Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74. “ ANAMWIJIA MMOJA WENU SHETANI (JINI) KATIKA SALA BASI ANAMPULIZA (ANAMPULIZA)
katika MA--TA--KO-- YAKE, basi (YULE MTU) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

KUNYA NI ISHU NYINGINE! NA KUCHEZEWA --MA-TA-KO-- NA SHETANI NI ISHU NYINGINE!

NA KWAMUJIBU WA UISLAM SHETANI NI MTU! NA KWA MUJIBU HUO
ANAYECHEZEA --MA--TA--KO YAKO NI MTU! A.K.A SHETANI!.
 
siku hizi kuna kusali? ubishoo tu!!!!!!!!
 
Hapo inabidi wewe ubadili mtazamo wako na ukae ukijifikiria, binaadam kuabudu sanamu la mzungu lilifungwa kibwebwe au zingine nepi na wewe umo tu. Hivi haikujii kuwa hilo ni sanamu tu tena la mzungu?

Sijawahi kuabudu sanamu kwa namna yoyote ile!! Jaribu kutofautisha ukristo wa kweli na ushetani! Uliwahi ingia kanisa gani ukakuta wanaabudu sanamu?
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk

huwa mnawaza ngono tu. Kabla ya nguo kugunduliwa watu walivaaje?
 
Hakuna Ukristo pasipo msalaba..ukombizi wetu ulianzia hapo...siwwzi kuikana imani yangu japo siwezi ua kwa kuitetea kama mfanyavyo nyie.....Ukristo unajitete wenyewe

........kwahiyo mnaabudu msalaba !!? @ Luggy
Ili wewe upate hiyo imani, basi wenzako walimuua mwana wa pekee tena wakiume wa munguwenu !:A S wink::A S 13:
 
Sijawahi kuabudu sanamu kwa namna yoyote ile!! Jaribu kutofautisha ukristo wa kweli na ushetani! Uliwahi ingia kanisa gani ukakuta wanaabudu sanamu?

magnifico ...Ule msalaba na yule anaye ninng'inia pale mbele ni nani !@ Faiza Foxy tuongezee picha zingine za Maaskofu wao na Misalaba.
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk

Lakini bro kwani ungamo la dhambi unalifanyia kwenye mapaja ya mwenzio? Kwanini usiingie kanisani na moyo uliopondeka ili hata hayo mapaja uyaone shetani?...Muone!
 
........kwahiyo mnaabudu msalaba !!? @ Luggy
Ili wewe upate hiyo imani, basi wenzako walimuua mwana wa pekee tena wakiume wa munguwenu !:A S wink::A S 13:

Msalaba ni ishara tu.....mbona nyie mnaweka ka mwezi meeen kwa hiyo mnaabudu hako kakitu?
 

first of all i am a proud muslim!

Halafu hao majini km sisi wametuteka na ni watumwa kwao nyinyi wenzetu wamefanya nn? Wamewabeba au? Maana munapigaga nao mbio hadi makanisani kucheza nao kwaito.........
 
magnifico ...Ule msalaba na yule anaye ninng'inia pale mbele ni nani !@ Faiza Foxy tuongezee picha zingine za Maaskofu wao na Misalaba.

Sikupenda kuandika haya niandikayo ila imenibidi! Wapi katika kitabu chenu allah alipokiri yeye ni MUNGU?
Ukinijibu nitakujibu.
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk

wacha tupate burdani bwana, uumbaji wa mungu
 

ww laana imeshakushukia wala sikushangai na comment zako.......
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
wewe binafsi unakwenda kanisani kuangalia mapaja na makalio yaliyobanwa?p.mbaf sana..
 
Nimetaka ni cangiye topic ya mavazi kanisani hebu lini umeona MARIAM mamake YESU kava kimini ama tizama ma SISTER kanisani awavai vi mini na wenyewe ndo mfano

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

'Ewe Nabii ! (Muhammad) Waambie wake zako, na mabinti zako, na wake za Waumini (Waislaam), wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe (kuzomewa, kuchekwa na kutukanwa). na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

Qur'an: 33:59.
 
Sikupenda kuandika haya niandikayo ila imenibidi! Wapi katika kitabu chenu allah alipokiri yeye ni MUNGU?
Ukinijibu nitakujibu.

Wewe wapi uliiona picha ya mungu ?!
Huyu ndiye Allah SWT, Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana Mungu ila Yeye, Muumba wa Kila kitu. Basi Muabuduni Yeye tu. Naye ni Mtegemewa wa kila kitu. Macho hayamfikii ila Yeye anayafikia macho, naye ni Mjuzi Mwenye khabari.
Q:6:102-103.
 
first of all i am a proud muslim!

Halafu hao majini km sisi wametuteka na ni watumwa kwao nyinyi wenzetu wamefanya nn? Wamewabeba au? Maana munapigaga nao mbio hadi makanisani kucheza nao kwaito.........
HII HADITHI HAITUUSU SISI! MAANA SISI SIO WAISLAM! HII HADIDHI INAYOSIMULIWA NA MUHAMMAD INASEMA WAISILAMU NDIO UFANYIWA HAYA NA SII WATU WASIO WAISLAM

SASA WEWE UNANIULIZA MIMI WAKATI HII HADITHI HAINIUSU MIMI! INAWAUSU WAISLAM!
LABDA WEWE NDIO UTUAMBIE WAKATI WA KUNYA SHETANI UWA ANAKUFANYAJE?
HAKO KAMCHEZO SHETANI ANAWAFANYIA WAISLAM KWA MUJIBU WA HADIDHI ZA MTUME WA WAISLAM
waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali. Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)


Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74. “ ANAMWIJIA MMOJA WENU SHETANI (JINI) KATIKA SALA BASI ANAMPULIZA (ANAMPULIZA)
katika MA--TA--KO-- YAKE, basi (YULE MTU) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

SASA UTUAMBIE NA MENGINE UNAYOFANYIWA NA SHETANI BAADA YA KUKUTEKA NA KUKUTAWALA.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…